Sirudii tena

Wake zetu wenyewe ni cha wote acha kututisha.
 
Dadek , ndo ukome nilikuja na nyuzi humu kumnyandua demu wangu ambae nilikua nimezoea kumla ,nilikuja kumpima asubh baada ya kupiga usiku aisee ..nikakuta tayar , nikaenda kuhakikisha kwa kipimo cha pili ngoma comfirmed ....mpaka leo sifanyi tena ujinga nilisalimika ila stress zake...sio poa
 
Sidhan Kama TZ Kuna mkoa una Wanawake cheap

Afu wepesi wa kujirahisi Kama mkoa wa dodoma.

Worse enough,
Ni wazuri nje ila ndani hawajitunzi

Sijajua Ni ukame na shida ya maji au vipi


Mi mwnyw kila nikienda Dom nmekua muoga sana, Dom Ina history mbaya sn ya magonjwa ya zinaa

Itabdi tuje na Uzi rasmi
watu wa dodoma watwambie Tatizo Ni Nini kwann wageni wakikutana na dada zao kutoka salama imekua changamoto Sana
 
That's is true


Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Karibu dodoma, waja na shabiby waondoka na gono😂
 
Reactions: BRB
Sema Dodoma wanawake wanauza papuchi sana aise
 
Hivi wenzangu ujasiri wakuhoji Hiv mnautoaga wapi?? Mwenzenu akikubali chapu naloweka lungu likitoka limelegea natokomea zangu kusikojulikana😎😎😎😎😎
 
Naomba unisaidie VPN ya tigo na Airtel.Ambayo ipo fasta.
 
Nyie mnamshangaa huyo mnazijua GENYE ?
Nilibandua mtu najua yupo kwenye medications nilivomaliza nlijutia sana na sjawah kupima 3 years sasa siku nikikuta ovyo namshtak yule mama (sio kwa Ile mitego alokua ananfanyia)
 
Nyie mnamshangaa huyo mnazijua GENYE ?
Nilibandua mtu najua yupo kwenye medications nilivomaliza nlijutia sana na sjawah kupima 3 years sasa siku nikikuta ovyo namshtak yule mama (sio kwa Ile mitego alokua ananfanyia)
Mkuu uliuza mechi vp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…