Sirudii tena

Acha uoga wewe! Muwasho tu na vifangasi vya hapa na pale, unataka kuahirisha kabisa kuuza mechi wakati mwingine!

Ungeanza kukojoa usaha si ndiyo ungejiapiza kabisa na miungu yako yote!

Hiyo ni changamoto ndogo tu kijana! Kula maisha, ili ukizeeka upate cha kuwasimulia wajukuu zako.
 
Ila wanaume akili zenu matope, hivi unaanzaje kumkuta mwanamke bar ni mhudumu, ukashindwa kujuiliza ameonwa na wangapi? Hivi mnaumwa nini nyie?

ila katika viumbe ambao hawana kinyaa niwanaume, hata ukitumia kinga so long as dada ni mhudumu huyo ni cha wote.tumieni akili
 
Tatizo wewe sio mwanaume . Ata nikisema hutaelewa
 
Dah, Kwa uzoefu huo tu ..sirudii Tena
 
Nilidhani utasema ulimpima kumbe alikutumia picha ya kipimo!
 
 
Mwezi mmoja HIV test bado si conclusive, pima tena baada ya wiki ya 6
 
Kwa uwezo wako wa king'amua mambo bila shaka umeajiriwa na gavoo.
 
Sasa unazani shetani ndo alinisaidia ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…