Huyo Christopher Martin ni mume wa Grace Martin anayeshtakiwa pamoja na Mahalu. Taarifa ambazo ninazo ni kwamba jamaa analipa kisasi.
sijaona majungu yoyoyete may be ulete evidence zaidi.
Mbona kesi hii hiko mahakamani, si sheria zinakataza kujadili undani wa kesi husika?
Brother Hoseah kama msukuma najua sie tunajiamini sana na ushauri nitakakupa ujue nikutoka moyoni,
JIUZULU MKUBWA!!!!!
Wapishi wa zengwe ni pamoja na hawa hapa:
1: Grace Abdiel Shangali - Kwa kutegemea atawekewa kifua ili auziwe nyumba ya serikali, huyu ame-facilitate upishi wa Zengwe kwa kushirikiana na jamaa hawa hapa chini. Sasa hivi yupo MFAIC, acting Director wa Idara moja hapa. Amengoja sana apewe Ubalozi. Mzembe sana huyu. Email box zake zimesheheni nyaraka za Serikali
2: Adolf Mchemwa - Huyu alifanya madudu yake Ubalozini pale Rome na akarudishwa nyumbani kabla ya kupangiwa kituo kingine. Amebeba donge hadi leo hii
3: Cristopher Matias Martin Mushi - Huyu anajulikana kama Tatu Kichwa au Twin Towers according to Grace Shangali (size ya kichwa chake??). Pamoja na kuwa resident wa Italy, jamaa anaonekana sana Leopard Hotel, Moshi. Kwa wasiomjua, anjitambulisha pia kama afisa usalama. Ametumika sana na TAKUKURU kwenye upishi wa Zengwe lenyewe. Mkibosho mwenzake kwa jina la Chami (nduguye aliyewahi kuwa Waziri mdogo, MFAIC, ndiye anayedaiwa na TAKUKURU kutoa taarifa aliyosikia redioni kuhusu Jengo husika. Chami huyu ni mfanyakazi wa TAKUKURU.
4: et al, pamoja na recipient wa Email za Shangali aleyetegemewa kumsaidia Grace Shangali kupata jumba la dezo serikalini.
yaani huo ndiyo ushauri unaompa au tuendelee kusubiri?
anyways...........nimependa signature yako
Huyo Christopher Martin ni mume wa Grace Martin anayeshtakiwa pamoja na Mahalu. Taarifa ambazo ninazo ni kwamba jamaa analipa kisasi.
Ni sahihi zaidi ukisema alikuwa mke maana kwa sasa hawapo pamoja ingawa Grace amekataa kumpa talaka Chriss.
Mahalu alimgongea kijana mke hivyo ni revenge fulani hivi ingawa kuna ukweli w ufujaji wa mali za JMT. All in all hatungekaa tujue kama sio Grace kumegwa na huyu jamaa!
Hivi kuhack email ya mtu ni sawa? What if ya mmoja hapa ikipitiwa? Nadhani investigation inaweza kufanyika kwa namna nyingine na si kuhack emails.
Ni sahihi zaidi ukisema alikuwa mke maana kwa sasa hawapo pamoja ingawa Grace amekataa kumpa talaka Chriss.
Mahalu alimgongea kijana mke hivyo ni revenge fulani hivi ingawa kuna ukweli w ufujaji wa mali za JMT. All in all hatungekaa tujue kama sio Grace kumegwa na huyu jamaa!