Siri zaidi: Kesi dhidi ya balozi Mahalu - Wapishi wa zengwe hawa hapa

Mnapoteza muda kujadili documents hizi ambazo ni forgery. Huyo aliyetayarisha hizo documents inaelekea hata hajui internet inavyofanya kazi.

Ukiwa kilaza usijaribu kufanya udanganyifu maana unakamatwa kirahisi mno.
 
hiyo kali!!nahisi Prof.Mahalu hii kesi atashinda tu,ukisoma vizuri gazeti la Mwanahalisi na hii ishu hapa utabaini hii kitu,naona kama hii kesi ilifunguliwa kwa kimajungu zaidi!!! na nimeamini hapa jf kuna makachero waliobobea zaidi!!!!
 
mara nyingi hawa Mahackers ni mara chache sana kuwapata na ukiwapata utawashtaki kwa sheria zipi hp tz?
 
hii sijui kama ni kweli,naomba ushaidi ili tujue ukweli
.

Hivi kwa akili yako nyepesi tu unaweza kufikiri ni kwa nini mume amgeuke mkewe tena kwa ndoa ambayo haikudumu kwa miaka hata kumi! Kama wangekuwa kwenye terms nzuri mke angemtetea mkewe kwa kila hali! Sasa bomu linalipuka baada ya mke na mume kuachana. Tumia akili kidogo utagundua!
 
Jamaa wameshutuka na kuzitoa docs. Waambieni wakasome SMTP protocal RFC-5321 na RFC-5322 watajua walivyochemsha katika ku forge hizo emails.
 
mangi kaMa haukua nao chumba kimoja ikitokea hii comment siwezi kukubaliana nayo. lakini sawa labda wewe unajua kitu. Swala ni kesi hapa sio haya mambo mengine
Hivi kwa akili yako nyepesi tu unaweza kufikiri ni kwa nini mume amgeuke mkewe tena kwa ndoa ambayo haikudumu kwa miaka hata kumi! Kama wangekuwa kwenye terms nzuri mke angemtetea mkewe kwa kila hali! Sasa bomu linalipuka baada ya mke na mume kuachana. Tumia akili kidogo utagundua!
 
mangi kaMa haukua nao chumba kimoja ikitokea hii comment siwezi kukubaliana nayo. lakini sawa labda wewe unajua kitu. Swala ni kesi hapa sio haya mambo mengine

Sawa kesi! The thing is behind that imepikwa na kuandaliwa na nani na kwa nini? There some peple behind this ambao wanajua kila kitu kilivyokwenda.
Labda nikwambie tu kuwa polisi sio malaika kujua Profesy kafanya ni au anategemea kufanya uhalifu gani! Siri huvuja huanza pale upande mmoja unapotaka kuugeuka upande wa pili kwa kutaka faida zaidi ama kwa kudhulumiwa! Hapo ndo kelele huanza na hii hufika mbali zaidi! So deal ilishachezwa na upande mmoja kunufaika! Mbaya zaidi ukaingilia unyumba wa mtu! Mwenye mke akagundua! What do you expect? Mwenye mke akae kimya na kuugulia maumivu?
 
du sawa bwana. wewe ndio unajua
Sawa kesi! The thing is behind that imepikwa na kuandaliwa na nani na kwa nini? There some peple behind this ambao wanajua kila kitu kilivyokwenda.
Labda nikwambie tu kuwa polisi sio malaika kujua Profesy kafanya ni au anategemea kufanya uhalifu gani! Siri huvuja huanza pale upande mmoja unapotaka kuugeuka upande wa pili kwa kutaka faida zaidi ama kwa kudhulumiwa! Hapo ndo kelele huanza na hii hufika mbali zaidi! So deal ilishachezwa na upande mmoja kunufaika! Mbaya zaidi ukaingilia unyumba wa mtu! Mwenye mke akagundua! What do you expect? Mwenye mke akae kimya na kuugulia maumivu?
 
kila nikiifikiria JF najiona mimi ni mdogo kama punje ya hadarati.

hapa mimi najisomea tu. sichangii kitu.

Ukweli ni kuwa huyo wa(3) ni mume wa zamani wa mtuhumiwa wa 2 (Grace MARTIN).....na ndiye aliyechoma utambi wote baada ya kubwagwa na mama mshiko ulipoelekea kutua
 
Ukweli ni kuwa huyo wa(3) ni mume wa zamani wa mtuhumiwa wa 2 (Grace MARTIN).....na ndiye aliyechoma utambi wote baada ya kubwagwa na mama mshiko ulipoelekea kutua

Kuna akina Tomaso huku hawataki eti mpaka ukute wamenasiana ndo ushahidi!
 
Jamaa wameshutuka na kuzitoa docs. Waambieni wakasome SMTP protocal RFC-5321 na RFC-5322 watajua walivyochemsha katika ku forge hizo emails.


Hapa naona na wewe unataka kuwatisha watu na vi vocabulary. kumbuka hapa tupo kwenye jukwa la siasa . ebu tufafanulie kama mtaalam hiyo RFC 5321 kwa summary inasemaje
 
Hapa naona na wewe unataka kuwatisha watu na vi vocabulary. kumbuka hapa tupo kwenye jukwa la siasa . ebu tufafanulie kama mtaalam hiyo RFC 5321 kwa summary inasemaje

Emails zinaposafiri kwenye internet zinatumia protocol inayoitwa SMTP (Simple Mail Transfer Protocol) ambayo iko defined kwenye two RFC -Request For comments. Hizi RFC ni kama vile bills kwenye sheria za nchi. Kila protocol inakuwa defined kwenye hizi RFC.

Hizo RFC mbili (RFC-5321 na RFC-5322) zinataja kila characters ambayo inaweza kutumika kwenye email na itumike sehemu gani. Usipozifuata email yako inatemwa huko njiani. Ni sawa na wewe unapeleka gari la tone 10 kwenye barabara ya tone 5.

Hizo emails zilizokuwa hapa zina makosa mbalimbali kwa maana zimechakachuliwa na kujikuta headers zake haziendani na hizo RFC mbili.

Conclusion ni moja tu - hizo emails ni forgery.
 
boss fafanua basi.

MARTIN alipata kumuwowa GRACE.......MARTIN akawa go between kwenye manunuzi ya NYUMBA ile namba 185 via CORTINA D'AMPEZZO....mama alipoona hela inakaribia akamtupa jamaa....naye AKALILIPUA
 
Back
Top Bottom