Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa G/Mboto akipokelewa na wananchi wake baada ya Masaa 48 aliyowekwa ndani na Mkuu wa mkoa Dar es Salaam.
Wananchi hao wamelaani kitendo hicho na kukuta chuki za kisiasa ambazo matokeo yake siyo mazuri maana wananchi wanataka maendeleo siyo chuki za kisiasa.
Wamendelea kusema kwenye mtaa huo mwenyekiti wao ni wa UKAWA na mjumbe mojawapo katika serikali hiyo ya mtaa nikutokea CCM kwahiyo kuna kutokuelewana katika ufanyaji kazi zao.
Wananchi hao wamelaani kitendo hicho na kukuta chuki za kisiasa ambazo matokeo yake siyo mazuri maana wananchi wanataka maendeleo siyo chuki za kisiasa.
Wamendelea kusema kwenye mtaa huo mwenyekiti wao ni wa UKAWA na mjumbe mojawapo katika serikali hiyo ya mtaa nikutokea CCM kwahiyo kuna kutokuelewana katika ufanyaji kazi zao.