MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,557
- 24,180
Mkuu siku hizi nikisikia jina Lipumba akili inaniambia hilo ni NAJISI.
Na mahakama na RitaNEC na Polisi ni jumuiya za sisiemu..
Unaweza kuthibitisha?Hujaelewa , yaani haya majina mapya yaliyotangazwa kumbe ni majina ya kuokota tu , hayahusiani na yale yaliyopelekwa na cuf tume mwaka 2015 kabla ya uchaguzi .
Kama za tinted,polisi na makondakesho utasikia, mwanahalisi iwaombe radhi NEC.
habari za mwanahalisi zinahitaji uvumilivu na sio kuzikimbilia bila taadhari.
Pata nakala yako , majina yote ya halali yaliyopelekwa na cuf 2015 yamewekwa .Nilitegemea MwanaHalisi watuwekee majina ya 2015 ya CUF na tuone hawa wa Lipumba wanakwendaje na list hiyo. Wakifanya hivyo wataaminika zaidi au ndio siri ya mahakamani?
MwanaHalisi imeweka kila kitu , natumia Tecno ya tochi nashindwa kukuwekea hapaUnaweza kuthibitisha?
inaruhusiwa muislam kuoa watu walopewa kitabu(wakristo na yahudi)..ila muislam haruhusiwi kuolewa na asiekua muislammbona anaishi na kaffir? mke wake si mkiristo?
itakua malaria inapanda kichwani,wahi msetoMkuu siku hizi nikisikia jina Lipumba akili inaniambia hilo ni NAJISI.
Lipumba ni muislam ?inaruhusiwa muislam kuoa watu walopewa kitabu(wakristo na yahudi)..ila muislam haruhusiwi kuolewa na asiekua muislam
Wewe pia ni member hapa jf ?Mbona hauna point ya kuongea. Hao wabunge walioteuliwa na lipumba ni wa chama gani na Lipumba mwenyewe kiti wa chama gani , ukipata jibu ndio utajuwa kuwa hayo majina sio ya mfukoni
Mkuu hapo nchi imefedhehekaje Sasa..?Taarifa za uhakika ni kwamba majina ya wabunge wapya wa cuf walioteuliwa kushika nafasi za wale ambao ' wamefukuzwa ' na Msaliti Lipumba , kumbe ni majina ya mfuko wa suruali ya Lipumba .
Ule utaratibu wa kisheria wa Tume ya uchaguzi wa kuteua wabunge wa viti maalum kutokana na orodha iliyowasilishwa kwake na chama husika , tena kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika UMEPUUZWA .
Chanzo MwanaHalisi .
Mytake - Kwanini Tume ya uchaguzi imeamua kujidhalilisha kiasi hiki ? Maana hata kama wabunge hawa wangefukuzwa kihalali , bado NEC ilitakiwa kuteua wengine walio kwenye orodha iliyowasilishwa na CUF kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015 .
Watu wachache wanafedhehesha Nchi kwa gharama ya vyeo vya kupita tu .
hahaha nadhani ni 1 maana kama sio nec saa hiz ccm ingalikuwa chama cha upinzani ambacho wanachama wangekuwa wanakihama deileNEC ni ccm C baada ya Act Wazalendo, Police, NEC.
hijja alienda kutalii!!?Lipumba ni muislam ?
Source :Mwanahalisi
Mmiliki: Kubenea
Hivi karibuni: kubenea atangaza vita ya kumg'oa Lipumba ofisi za Buguruni
Onyo:Ni aibu kwa great thinkers kujadili uzushi kutoka kwa mtu mwenye elimu ya hapa na pale.