Siri za Lipumba, NEC zafichuka

Siri za Lipumba, NEC zafichuka

Taarifa za uhakika ni kwamba majina ya wabunge wapya wa cuf walioteuliwa kushika nafasi za wale ambao ' wamefukuzwa ' na Msaliti Lipumba , kumbe ni majina ya mfuko wa suruali ya Lipumba .

Ule utaratibu wa kisheria wa Tume ya uchaguzi wa kuteua wabunge wa viti maalum kutokana na orodha iliyowasilishwa kwake na chama husika , tena kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika UMEPUUZWA .

Chanzo MwanaHalisi .

Mytake - Kwanini Tume ya uchaguzi imeamua kujidhalilisha kiasi hiki ? Maana hata kama wabunge hawa wangefukuzwa kihalali , bado NEC ilitakiwa kuteua wengine walio kwenye orodha iliyowasilishwa na CUF kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015 .

Watu wachache wanafedhehesha Nchi kwa gharama ya vyeo vya kupita tu .
Ni kawaida sana mtu akiamua kupigania tumbo tu basi ujue neno aibu hana

In God we trust
 
Hujaelewa , yaani haya majina mapya yaliyotangazwa kumbe ni majina ya kuokota tu , hayahusiani na yale yaliyopelekwa na cuf tume mwaka 2015 kabla ya uchaguzi .
Kwa taarifa hii kuna uwezekano wa wabunge hawa wa lipumba wakapingwa kwani hawapo kisheria

In God we trust
 
Jiongeze basi wewe! Kasome sheria ya uchaguzi ya 1991 na mabadiliko yake ili umwelewe mleta hoja.

Majaji wa nchi hii, mbona mnakubali kuidhalilisha heshima na taaluma zenu kwa gharama ya peremende?

Mshaurini Mutungi jamaa na rafiki japo kanisahau alipopaishwa na kuwekwa hapo juu kuwa Kivuitu wa Kenya alikufa na kuzikwa kwa aibu kwasababu mtu fulani tena mwanasiasa anakuelekeza cha kufanya na likiharibika mnaanza kupewa majina kama wapumbavu n.k tena jukwaani.

NEC ijitafakari sana kwani haitakwepa lawama za kuiingiza jamii kwenye vurugu kwa ujinga wa mtu mmoja. Jaji John aliyekuwepo hapo kabla was very smaet kwani alikuwa anawaita na kuwaambia atakifuta chama. Wewe unakilea cha nini? Vuta tuelewe moja!
Mkuu kamwe njaa haijawahi kumwacha mtu salama

In God we trust
 
Source :Mwanahalisi

Mmiliki: Kubenea

Hivi karibuni: kubenea atangaza vita ya kumg'oa Lipumba ofisi za Buguruni

Onyo:Ni aibu kwa great thinkers kujadili uzushi kutoka kwa mtu mwenye elimu ya hapa na pale.

Kwa Hiyo Hii Habar Ilitakiwa Itoke Tbc Na Gazet La Uhuru
 
Source :Mwanahalisi

Mmiliki: Kubenea

Hivi karibuni: kubenea atangaza vita ya kumg'oa Lipumba ofisi za Buguruni

Onyo:Ni aibu kwa great thinkers kujadili uzushi kutoka kwa mtu mwenye elimu ya hapa na pale.
Lipumba amtishia kubenea adai apangwe ulingoni amtoa nock out yeye na refa wao maalim seif halafu unategemea mini.......tutoleeni vipeperushi. Team baby travel to KIA
 
Source :Mwanahalisi

Mmiliki: Kubenea

Hivi karibuni: kubenea atangaza vita ya kumg'oa Lipumba ofisi za Buguruni

Onyo:Ni aibu kwa great thinkers kujadili uzushi kutoka kwa mtu mwenye elimu ya hapa na pale.
...Kila siku mnasema ana elimu ya hapa na pale but yet ameweza kuendesha magazeti yake very successfully. Wewe msomi umeshawahi hata kuandika kipeperushi na kupata followers?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom