GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Taarifa za ' Kiudukuzi ' kabisa na ambazo hadi kupelekea Mwandishi wa huu ' uzi ' kuzipata ilibidi afanye ' Kazi ' ya ' ziada ' na ambayo bila ya ' ulinzi ' na ' kudra ' zake Mwenyezi Mungu hivi sasa yangekuwa mengine ni kwamba aliyekuwa ' Mtia nia ' mmoja ndani ya Chama Tawala cha CCM na ambaye hata katika 10 ' bora ' kisha katika ' 7 ' bora alikuwepo amepanga ' mkakati ' mkali sana wa kujiunga rasmi na Upinzani ili kuweza ' kugombea ' Urais kwa kushindana na Rais wa sasa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli mwaka 2020.
Habari za ' udukuzi ' na zilizotukuka kabisa zinazidi kusema kuwa ' Kada ' huyo wa CCM ambaye kwa sasa hafichi tena ' unafiki ' wake ndani ya Chama Tawala cha CCM anafanya mazungumzo ya ' Siri ' kabisa na Viongozi wa Vyama viwili ambacho kimoja kimeshajizolea ' umaarufu ' japo hadi sasa kimeshia tu kuja na ' matamko ' ya hapa na pale na yasiyotekelezeka huku Chama kingine kikiwa ni kidogo lakini ambacho kiliweza ' kuwashtua ' Watanzania mwaka jana 2015 kutokana na ' Sera ' zake zenye ' maono ' hasa ukizingatia kuwa kina ' zawadi ' ya kuwa na Mwanasiasa ' Kijana ' ili aweze kujiunga navyo na aweze kupambana na Rais Dkt Magufuli mwaka 2020 kwani anasema kuwa ana uhakika wa ' kushinda ' kwa jinsi alivyojipanga.
Taarifa zaidi za ' Kidukuzi ' zimeenda mbele na kusema kuwa ' mkakati ' wake wa kwanza ni mwaka 2018 kujiunga ' rasmi ' na moja ya hivyo Vyama ' tajwa ' kimafumbo hapo juu ili aanze kutambulishwa, kukijua hicho Chama vizuri kisha aanze kuzungushwa nchi nzima katika moja ya ' Kampeni ' ya Chama kimoja ambayo wanapanga kuifanya mwaka huo wa 2018 ili kujijenga na kujipanga kwa ' ushindani ' katika ' Uchaguzi ' Mkuu mwaka 2020 huku akiwa na ' jeuri ' ya kuungwa mkono na nchi kubwa tatu duniani za Ujerumani, Canada na Uingereza.
CCM najua fika kuwa leo mnaanza ' Vikao ' vyenu vidogo chini ya Mwenyekiti wenu wa ' Taifa ' hivyo jitahidini na hili mliangalie kwa umakini wenu mkubwa kwani huyo ' Nyoka ' mwenye ' Sumu ' kali bado mpo nae humo humo na sasa amekaa ' kimya ' tu lakini akikusanya ' Sumu ' ambayo kama hamtaiwahi kuimaliza mapema kutokana na ' uzoefu ' wake mkubwa na kukijua Chama vilivyo huku akiwa na 'mbinu ' zote za ' Kidiplomasia ', ' Propaganda ' na hadi za ' Usalama ' mwaka 2020 mnaweza kupata wakati ' mgumu ' pengine hata kuliko wa mwaka jana ( 2015 ) kwani katika hivyo Vyama viwili ambavyo anajipanga kujiunga na kimoja wapo kuna Watu wawili ambao wana ' ushawishi ' mkubwa sana katika ' Jamii ' yetu na ambao pia wanajua kupanga ' mikakati ' vizuri mno kitu amacho kinaweza kumrahisishia huyu ' Kada Mnafiki ' wa CCM kuweza ' kuchafua ' kabisa hali ya hewa.
Baada ya ' Kazi ' ngumu ya ' Kudukua ' naomba niishie hapa tafadhali na nisali huku nikimshukuru Mwenyezi Mungu kwani naamini bila kunipa ' ujasiri ' na kuniongoza kwa ' nguvu ' zake nisingeweza kutokana na ' unyeti ' wake.
Kila la kheri.
Habari za ' udukuzi ' na zilizotukuka kabisa zinazidi kusema kuwa ' Kada ' huyo wa CCM ambaye kwa sasa hafichi tena ' unafiki ' wake ndani ya Chama Tawala cha CCM anafanya mazungumzo ya ' Siri ' kabisa na Viongozi wa Vyama viwili ambacho kimoja kimeshajizolea ' umaarufu ' japo hadi sasa kimeshia tu kuja na ' matamko ' ya hapa na pale na yasiyotekelezeka huku Chama kingine kikiwa ni kidogo lakini ambacho kiliweza ' kuwashtua ' Watanzania mwaka jana 2015 kutokana na ' Sera ' zake zenye ' maono ' hasa ukizingatia kuwa kina ' zawadi ' ya kuwa na Mwanasiasa ' Kijana ' ili aweze kujiunga navyo na aweze kupambana na Rais Dkt Magufuli mwaka 2020 kwani anasema kuwa ana uhakika wa ' kushinda ' kwa jinsi alivyojipanga.
Taarifa zaidi za ' Kidukuzi ' zimeenda mbele na kusema kuwa ' mkakati ' wake wa kwanza ni mwaka 2018 kujiunga ' rasmi ' na moja ya hivyo Vyama ' tajwa ' kimafumbo hapo juu ili aanze kutambulishwa, kukijua hicho Chama vizuri kisha aanze kuzungushwa nchi nzima katika moja ya ' Kampeni ' ya Chama kimoja ambayo wanapanga kuifanya mwaka huo wa 2018 ili kujijenga na kujipanga kwa ' ushindani ' katika ' Uchaguzi ' Mkuu mwaka 2020 huku akiwa na ' jeuri ' ya kuungwa mkono na nchi kubwa tatu duniani za Ujerumani, Canada na Uingereza.
CCM najua fika kuwa leo mnaanza ' Vikao ' vyenu vidogo chini ya Mwenyekiti wenu wa ' Taifa ' hivyo jitahidini na hili mliangalie kwa umakini wenu mkubwa kwani huyo ' Nyoka ' mwenye ' Sumu ' kali bado mpo nae humo humo na sasa amekaa ' kimya ' tu lakini akikusanya ' Sumu ' ambayo kama hamtaiwahi kuimaliza mapema kutokana na ' uzoefu ' wake mkubwa na kukijua Chama vilivyo huku akiwa na 'mbinu ' zote za ' Kidiplomasia ', ' Propaganda ' na hadi za ' Usalama ' mwaka 2020 mnaweza kupata wakati ' mgumu ' pengine hata kuliko wa mwaka jana ( 2015 ) kwani katika hivyo Vyama viwili ambavyo anajipanga kujiunga na kimoja wapo kuna Watu wawili ambao wana ' ushawishi ' mkubwa sana katika ' Jamii ' yetu na ambao pia wanajua kupanga ' mikakati ' vizuri mno kitu amacho kinaweza kumrahisishia huyu ' Kada Mnafiki ' wa CCM kuweza ' kuchafua ' kabisa hali ya hewa.
Baada ya ' Kazi ' ngumu ya ' Kudukua ' naomba niishie hapa tafadhali na nisali huku nikimshukuru Mwenyezi Mungu kwani naamini bila kunipa ' ujasiri ' na kuniongoza kwa ' nguvu ' zake nisingeweza kutokana na ' unyeti ' wake.
Kila la kheri.