Ndio maana tunatakiwa tuwe wazalendo.. Mafisadi yanatumia kila mbinu kutimiza lengo lao ikiwamo kutoa roho za watu ili malengo yao yatimie.. Ajali ya Mwakyembe si ya bahati mbaya ilipangwa lakini Mungu akamnusuru.... Leo tunaonea huruma U.F.I.S.A.D.I.. Give me a break!