Siri ya UDP na Nyumba Kubwa;

Siri ya UDP na Nyumba Kubwa;

Huu uzi ili uusome na kuuelewa inabidi ujivue ukada na ukereketwa, uusome kama mtanzania na raia wa kawaida kabisa ambae uko updated na masuala mazima yanayojiri katika siasa za Tanzania, uwe na uwezo wa kuunganisha matukio na kudadisi "motive behind" kwa kila kauli au tukio ambalo limetokea na linategemea kutokea hivi karibuni. Tofauti na hivyo kila atakaechangia ataishia kutukana na kuonesha ukereketwa wa kichama.
 
Yaani maneno mengi haya kumbe ulikuwa unamaanisha Lowasa atahamia UDP na hivyo kuifanya UDP kuwa nyumba kubwa na CCM pamoja na CHADEMA kuwa nyumba ndogo? Very good meditation hope not under influence of shisha.
 
Ma DC waliompigania kufa na kupona kwenye uchaguzi mkuu wameishia kutupwa kama ile karatasi chafu
Shaka na Uv CCM yenu fungueni macho kwa nyakati hizi hamna umuhumu wowote,mnajifaragua tuu
Waulize "wasanii " hasa Kopa waliozunguka nchi nzima kupiga debe wamepata nini seuze Shaka unayejulikana ni kambi ya EL
 
Back
Top Bottom