Ina maana Pinda, Jaji Agustino Ramadhan,Dr Gharib Bilal,Mwigulu Nchemba,Hamis Kigwangala,Augustino Mahiga nk nao walikuwa wanatafuna nchi? Hao nao majina yao yalikatwa!Ina maana we unamlaumu JK kwa kukataa majina ya akina Lowassa? Ina maana unaungana na waliokuwa wanatafuna nchi?
Hata kama una akili kidogo tu, Lowassa hatumtaki kabisa huku. Na tumesikia ameandaliwa nafasi UDP.
Tuna mhitaji aondoke salama.
Ina maana Pinda, Jaji Agustino Ramadhan,Dr Gharib Bilal,Mwigulu Nchemba,Hamis Kigwangala,Augustino Mahiga nk nao walikuwa wanatafuna nchi? Hao nao majina yao yalikatwa!
POLEPOLE ni RIKA moja na WARYOBA yule wa katiba mpya, baba yake na KIPPI,!Kwan imeandikwa wapi ma Dc lazima watoke uvccm?
Mleta uchochezi anataka atajiwe ma Dc watano toka uvccm,nao ni Hapi,mjema,nurdin,kippi,polepole
Tulionywa mapema kuhusu buku 7 fc , kwa uwezo wa vijana wengi wa ccm ni vigumu sana kuelewa uzi huu , huyu jamaa kaandika kama malenga mzoefu .Nyumbu @ work
Ukisikia ng'weeee ujue tayari !!!Kwan imeandikwa wapi ma Dc lazima watoke uvccm?
Mleta uchochezi anataka atajiwe ma Dc watano toka uvccm,nao ni Hapi,mjema,nurdin,kippi,polepole
Ole naiko tena? Mmmh!!!Katibu Mkuu wa UDP Ndg Ole Naiko ni Spika wa Mioyo ya Wanachadema 2015 kumbe Mtu wa system. Kweli Lowassa hajui kutofautisha Marafiki zake na marafiki wa Pesa zake
Kweli kabisa mkuu tatizo letu lumumba b7 fc tumezibwa macho na tumbo. Njaa kali mkuu.Tulionywa mapema kuhusu buku 7 fc , kwa uwezo wa vijana wengi wa ccm ni vigumu sana kuelewa uzi huu , huyu jamaa kaandika kama malenga mzoefu .
Yaa nilikosea ni ole MedeyeOle naiko tena? Mmmh!!!
Ulimaanisha olemedeye?
Nawew janjaweed umefanywajemleta mada kavurugwa akavurugika
Nimezidi kumvuruga mleta madaNawew janjaweed umefanywaje
Vilaza wapo mtaa wa Ufipa kinondoni.Vilazza wa Lumumba wanaupita huu uzi kama hawauoni vile.