Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Hongerani kwa ku-boost maana najua hamfanyi hivyo kwa nia mbaya ila kwa ajili ya kudumisha ndoa zenu. mkumbuke wakati wa kula matikiti maji mtafune na zile tumba zake nazo ni tiba mbadala inayokwenda sambamba na pweza.Tanga kuna kijana mmoja wa kimanga anaitwa Hafidhi yuko barabara ya nane makoko road ni fundi sana wa kutengeneza pweza. Kila ikifika jioni lazima wazee wapack magari yao wapate tiba. kumbuka hakuna dereva aliye wahi kutoboa bati la gari kwa kukanyaga ex-leta.