Chinantunu
Senior Member
- Mar 18, 2013
- 118
- 17
Nimewahi Kuona Barua Inayoelezea Mchango Kutoka Newala Ulikuwa Shs 20/= . Ni Nyingi Sana Wakati Huo.Wasukuma akina RUPIA ndio walimchangia nauli Nyerere.Revise your notes
Nimewahi Kuona Barua Inayoelezea Mchango Kutoka Newala Ulikuwa Shs 20/= . Ni Nyingi Sana Wakati Huo.Wasukuma akina RUPIA ndio walimchangia nauli Nyerere.Revise your notes
Sor yupo karbu na uhuruSio kweli kuwa rostam yuko karibu na odinga uwongo kapewa tenda kibao na serikali ya Kenyatta msitake ku divert Mambo baada ya kuona limebunguruka kenya. Rostam ndie Alikuwa kinara wa kuchakachua kwa kufunga mtambo wa kuchakachua kura za Tanzania nchi ya khazakistan aliogundulika na mpango kupigwa chini akaenda kenya kuwalaghai wakenya na lowasa akajifanya yuko na Kenyatta kwenye kampeni kumbe wapiga pesa wameenda kuwaliza akina Kenyatta na mitambo yao ya uchakachuaji kura. Raila komaa kura ni form za matokeo ya vituoni tu hilo pepo la voting management system mwachie trump na akina lowasa rostam Aziz Kenyatta
Rostam Aziz yuko karibu naye sana na Uhuru Kenyatta na kampa tenda kubwa sana kenya rostam Aziz kule.Sor yupo karbu na uhuru
UKAWA ni muungano wa makabila mawili ambayo hayakupigania uhuru ya wachaga na wapemba waarabu.Na ulianzishwa haswa na waliotake leading role wafanyabiashara wa makabila hayo mawili.Ukiwa na lengo la kushika siasa za nchi baada ya kuona wamefanikiwa kushika biashara kama ujuavyo wapemba na wachaga ndio wafanyabiashara wakuu Tanzania.Wakaona biashara haitoshi sasa washike na siasa!!!!!! Ili siasa na njia zote za uchumi zimilikiwe na wao!!!!.Hawakuridhika na faida tu ya biashara.
Afrika Na Zanzibar ni Ya wa afrika ngozi nyeusi m se nge Mkubwa we we seif aende uarabuni
majibu haya mepesi yasiyo na utumiaji wa akili hata kidogo tutaendelea nayo hadi lini?Wewe nae mkabila tu
Waliomchangia Nyerere pesa ili aende UN ni Mbowe na Rupia. Na Mbowe akasema hatambatiza mtoto wake mlama Tanganyika iwe huru. Tanganyika siku ilipopata uhuru, mzee Mbowe alimbatiza mtoto wake FREEMAN.Wasukuma akina RUPIA ndio walimchangia nauli Nyerere.Revise your notes
Pamoja na chifu makongoro wa IkizuWasukuma akina RUPIA ndio walimchangia nauli Nyerere.Revise your notes