Siri ya Siasa za Kenya hii hapa

Siri ya Siasa za Kenya hii hapa

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
36,509
Reaction score
45,123
Watu wengi hatujui ni kwa nini siasa za Kenya zinaendeshwa kikabila hasa ukifika wakati wa uchaguzi mkuu, huwezi kupata jibu bila ya kujua kiini cha vita ya MAUMAU. Vita hii ilipiganwa nchini Kenya miaka ya 1950's. Waliopigana vita hii kumtokomeza mkoloni Mwingeleza walikuwa ni Wakikuyu na makabila mengine madogo madogo. nature na Wakikuyu ni wafanyabiashara mashuhuri ukanda huu wa afrika Mashariki, pia ni wathubutu, si waoga na hawanaga kujipendekeza pendekeza kwa namna yoyote ile.

Wakati Wakikuyu wakipigana vita hii, Wajaluo wao ndio walikuwa maofisini wamefunga tai, Wajaluo by nature ni watanashati, hawataki shida shida na ni wasomi wabobezi. Walitumia usomi wao kuwachongea wakikuyu - walitoa siri za vita ili Wakikuyu washindwe.

Sasa leo, ati Wakikuyu wawakabidhi dola yao kwa Wajaluo ni ndoto, hilo halipo kabisa - wameapa kwa ncha ya upanga. kwa hiyo yanayoendelea Kenya ni muendelezo tu wa hii tamthiliya kwamba Wajaluo hawawezi kupewa nchi kwani kwani wakati wa vita MAUMAU wao walikuwa ofisini wakati Wakikuyu wakipukutika kama kuku vitani. Pole Mh. Raira - Historia imekukataa kuingia State Hse.

Kwa walio soma Kenya wataungana na mimi kwamba huwezi kumkuta kijana wa Kijaluo ana date Mkikuyu na kama ikitokea basi ni kwa nadra sana. Nilipata shida sana kuchagua marafiki by the time, hata nikienda lunch ilikuwa ngumu sana kwenda na rafiki zangu wa Kijaluo na Kikuyu at the same time - ni lazima nichague leo ntatoka na rafiki wa kabila lipi. Nikitoka na Mkikuyu kwa mfano ni lazima ataniambia siri mbaya za ndani za kabila lla Wajaluo, vivyo hivyo kwa Wajaluo watatoa siri za ndani za Wakikuyu. Hata hotel's na Bar zipo za Wakikuyu na Wajaluo, na ukienda Bar za wakikuyu kwa mo utakuta wanapiga nyimbo za kwao tu.

Pole Raila, mfumo wa siasa za kwenu zimekuondoa wewe kuingia IKULU, sababu kuu ni kwamba kabila lako halikushiriki wakati wa vita ya MAUMAU.

db825a75edbc2e0bc54e2e9a1b0e28f2.jpg
 
Wewe nae mkabila tu
Watu wengi hatujui ni kwa nini siasa za Kenya zinaendeshwa kikabila hasa ukifika wakati wa uchaguzi mkuu, huwezi kupata jibu bila ya kujua kiini cha vita ya MAUMAU. Vita hii ilipiganwa nchini Kenya miaka ya 1950's. Waliopigana vita hii kumtokomeza mkoloni Mwingeleza walikuwa ni Wakikuyu na makabila mengine madogo madogo. nature na Wakikuyu ni wafanyabiashara mashuhuri ukanda huu wa afrika Mashariki, pia ni wathubutu, si waoga na hawanaga kujipendekeza pendekeza kwa namna yoyote ile.

Wakati Wakikuyu wakipigana vita hii, Wajaluo wao ndio walikuwa maofisini wamefunga tai, Wajaluo by nature ni watanashati, hawataki shida shida na ni wasomi wabobezi. Walitumia usomi wao kuwachongea wakikuyu - walitoa siri za vita ili Wakikuyu washindwe.

Sasa leo, ati Wakikuyu wawakabidhi dola yao kwa Wajaluo ni ndoto, hilo halipo kabisa - wameapa kwa ncha ya upanga. kwa hiyo yanayoendelea Kenya ni muendelezo tu wa hii tamthiliya kwamba Wajaluo (MaJangooz) hawawezi kupewa nchi kwani kwani wakati wa vita MAUMAU wao walikuwa ofisini wakati Wakikuyu wakipukutika kama kuku vitani. Pole Mh. Raira - Historia imekukataa kuingia State Hse.

Kwa walio soma Kenya wataungana na mimi kwamba huwezi kumkuta kijana wa Kijaluo ana date Mkikuyu na kama ikitokea basi ni kwa nadra sana. Nilipata shida sana kuchagua marafiki by the time, hata nikienda lunch ilikuwa ngumu sana kwenda na rafiki zangu wa Kijaluo na Kikuyu at the same time - ni lazima nichague leo ntatoka na rafiki wa kabila lipi. Nikitoka na Mkikuyu kwa mfano ni lazima ataniambia siri mbaya za ndani za kabila lla Wajaluo, vivyo hivyo kwa Wajaluo watatoa siri za ndani za Wakikuyu. Hata hotel's na Bar zipo za Wakikuyu na Wajaluo, na ukienda Bar za wakikuyu kwa mo utakuta wanapiga nyimbo za kwao tu.

Pole Raila, mfumo wa siasa za kwenu zimekuondoa wewe kuingia IKULU, sababu kuu ni kwamba kabila lako halikushiriki wakati wa vita ya MAUMAU.

db825a75edbc2e0bc54e2e9a1b0e28f2.jpg
 
oooh kumbe ndivyo ilivyokuwa,

walikula kuku kwa mrija kwa raha zao huku wenzao wa wakipukutika
walikuwa wabinafsi, walijali matumbo yao kuliko utu,
hakika Mungu anawaona
 
Nasi tutajifunza kitu kwao

Sent using Jamii Forums mobile app

Tunachojifunza upande wa Zanzibar ni kuwa wakati waswahili ngozi nyeusi wakibeba mapanga na mashoka kumtimua sultan wapemba weupe akina self walikuwa walinywa urojo na kutafuna tambuu sebuleni kwa sultan.

Na kwa upande wa bara wakati Nyerere na makabila mengine walikuwa wakidai uhuru Mangi wa wachaga alienda kupinga kuwa watu wake hawataki.

Vita Ya kuikomboa Tanganyika Na Zanzibar wapemba na wachaga mchango wao ulikuwa hakunaWakati wengine wanahangaika kudai uhuru wao walikuwa wakiongea kiingereza na watoto wa malkia wa uingereza .Leo ndio vinara wa kutaka dola!!!!!!!!!!
 
Tunachojifunza upande wa Zanzibar ni kuwa wakati waswahili ngozi nyeusi wakibeba mapanga na mashoka kumtimua sultan wapemba weupe akina self walikuwa walinywa urojo na kutafuna tambuu sebuleni kwa sultan. Na kwa upande wa bara wakati Nyerere na makabila mengine walikuwa wakidai uhuru Mangi wa wachaga alienda kupinga kuwa watu wake hawataki. Vita Ya kuikomboa Tanganyika Na Zanzibar wapemba na wachaga mchango wao ulikuwa hakunaWakati wengine wanahangaika kudai uhuru wao walikuwa wakiongea kiingereza na watoto wa malkia wa uingereza .Leo ndio vinara wa kutaka dola!!!!!!!!!!
Pamoja na ukweli kuwa mimi kwetu ni Njombe lakini Mawazo yako hayaitendei haki nchi yetu na vyama vya siasa tulivyo navyo. Waliomchangia fedha Nyerere za kwenda UNO kudai uhuru ni nani kama si kina Mbowe. Pitia historia kabla hujapost ujinga wako hapa.
 
Tunachojifunza upande wa Zanzibar ni kuwa wakati waswahili ngozi nyeusi wakibeba mapanga na mashoka kumtimua sultan wapemba weupe akina self walikuwa walinywa urojo na kutafuna tambuu sebuleni kwa sultan. Na kwa upande wa bara wakati Nyerere na makabila mengine walikuwa wakidai uhuru Mangi wa wachaga alienda kupinga kuwa watu wake hawataki. Vita Ya kuikomboa Tanganyika Na Zanzibar wapemba na wachaga mchango wao ulikuwa hakunaWakati wengine wanahangaika kudai uhuru wao walikuwa wakiongea kiingereza na watoto wa malkia wa uingereza .Leo ndio vinara wa kutaka dola!!!!!!!!!!
Na hilo wakae wakijua, mangi na mpemba waliubwa kuwa ma puppet
 
Pamoja na ukweli kuwa mimi kwetu ni Njombe lakini Mawazo yako hayaitendei haki nchi yetu na vyama vya siasa tulivyo navyo. Waliomchangia fedha Nyerere za kwenda UNO kudai uhuru ni nani kama si kina Mbowe. Pitia historia kabla hujapost ujinga wako hapa.
Wasukuma akina RUPIA ndio walimchangia nauli Nyerere.Revise your notes
 
Watu wengi hatujui ni kwa nini siasa za Kenya zinaendeshwa kikabila hasa ukifika wakati wa uchaguzi mkuu, huwezi kupata jibu bila ya kujua kiini cha vita ya MAUMAU. Vita hii ilipiganwa nchini Kenya miaka ya 1950's. Waliopigana vita hii kumtokomeza mkoloni Mwingeleza walikuwa ni Wakikuyu na makabila mengine madogo madogo. nature na Wakikuyu ni wafanyabiashara mashuhuri ukanda huu wa afrika Mashariki, pia ni wathubutu, si waoga na hawanaga kujipendekeza pendekeza kwa namna yoyote ile.

Wakati Wakikuyu wakipigana vita hii, Wajaluo wao ndio walikuwa maofisini wamefunga tai, Wajaluo by nature ni watanashati, hawataki shida shida na ni wasomi wabobezi. Walitumia usomi wao kuwachongea wakikuyu - walitoa siri za vita ili Wakikuyu washindwe.

Sasa leo, ati Wakikuyu wawakabidhi dola yao kwa Wajaluo ni ndoto, hilo halipo kabisa - wameapa kwa ncha ya upanga. kwa hiyo yanayoendelea Kenya ni muendelezo tu wa hii tamthiliya kwamba Wajaluo (MaJangooz) hawawezi kupewa nchi kwani kwani wakati wa vita MAUMAU wao walikuwa ofisini wakati Wakikuyu wakipukutika kama kuku vitani. Pole Mh. Raira - Historia imekukataa kuingia State Hse.

Kwa walio soma Kenya wataungana na mimi kwamba huwezi kumkuta kijana wa Kijaluo ana date Mkikuyu na kama ikitokea basi ni kwa nadra sana. Nilipata shida sana kuchagua marafiki by the time, hata nikienda lunch ilikuwa ngumu sana kwenda na rafiki zangu wa Kijaluo na Kikuyu at the same time - ni lazima nichague leo ntatoka na rafiki wa kabila lipi. Nikitoka na Mkikuyu kwa mfano ni lazima ataniambia siri mbaya za ndani za kabila lla Wajaluo, vivyo hivyo kwa Wajaluo watatoa siri za ndani za Wakikuyu. Hata hotel's na Bar zipo za Wakikuyu na Wajaluo, na ukienda Bar za wakikuyu kwa mo utakuta wanapiga nyimbo za kwao tu.

Pole Raila, mfumo wa siasa za kwenu zimekuondoa wewe kuingia IKULU, sababu kuu ni kwamba kabila lako halikushiriki wakati wa vita ya MAUMAU.

db825a75edbc2e0bc54e2e9a1b0e28f2.jpg
i hope sio kijana wa ufipa maana vivyo hivo tutasema ile chama yenu isikanyage ikulu maana haina muhuri wa kupigania uhuru. maana umeandika kama unaona ni sawa raila kuibiwa kura na wajaluo kutengwa kuongoza kenya kama vile kila mjaluo alikua kibaraka amefunga tai ofisi ya mkoloni.
 
i hope sio kijana wa ufipa maana vivyo hivo tutasema ile chama yenu isikanyage ikulu maana haina muhuri wa kupigania uhuru. maana umeandika kama unaona ni sawa raila kuibiwa kura na wajaluo kutengwa kuongoza kenya kama vile kila mjaluo alikua kibaraka amefunga tai ofisi ya mkoloni.
Refer historia ya nchi yetu hasa wakati Mwalimu alipokuwa anakwenda Umoja wa Mataifa kudai Uhuru wetu unajua nini kilifanyika?

Historia ya nchi ya Tanganyika ni tofauti sana na nchi za Kenya, Zanzibar na Uganda kwa mfano.
 
Pamoja na ukweli kuwa mimi kwetu ni Njombe lakini Mawazo yako hayaitendei haki nchi yetu na vyama vya siasa tulivyo navyo. Waliomchangia fedha Nyerere za kwenda UNO kudai uhuru ni nani kama si kina Mbowe. Pitia historia kabla hujapost ujinga wako hapa.
vijana wa sasa hawataki historia, wao wanashinda FB tu. Hawajui wakati Mwalimu anakwenda UNO kudai Uhuru mbona hakuondokea Mwanza, Musoma ama Magu?
 
Nilishawahi kusoma kitabu hiki miaka ya 90 mwanzoni. Nitakipataje tena Mkuu? Nimekumbuka mbali si haba!
 
Ungetuwekea na mchango wa Oginga Odinga kwenye Uhuru wa Kenya ungekuwa umebalance story yako walau kwa uchache. Yaani umeonesha as if waluo hawakuwa na mchango wowote katika kupigania Uhuru wa Kenya.
 
Tunachojifunza upande wa Zanzibar ni kuwa wakati waswahili ngozi nyeusi wakibeba mapanga na mashoka kumtimua sultan wapemba weupe akina self walikuwa walinywa urojo na kutafuna tambuu sebuleni kwa sultan. Na kwa upande wa bara wakati Nyerere na makabila mengine walikuwa wakidai uhuru Mangi wa wachaga alienda kupinga kuwa watu wake hawataki. Vita Ya kuikomboa Tanganyika Na Zanzibar wapemba na wachaga mchango wao ulikuwa hakunaWakati wengine wanahangaika kudai uhuru wao walikuwa wakiongea kiingereza na watoto wa malkia wa uingereza .Leo ndio vinara wa kutaka dola!!!!!!!!!!
Waisome 'UKAWA' yaani wachaga na wapemba !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waisome 'UKAWA' yaani wachaga na wapemba !

Sent using Jamii Forums mobile app
UKAWA ni muungano wa makabila mawili ambayo hayakupigania uhuru ya wachaga na wapemba waarabu.Na ulianzishwa haswa na waliotake leading role wafanyabiashara wa makabila hayo mawili.Ukiwa na lengo la kushika siasa za nchi baada ya kuona wamefanikiwa kushika biashara kama ujuavyo wapemba na wachaga ndio wafanyabiashara wakuu Tanzania.Wakaona biashara haitoshi sasa washike na siasa!!!!!! Ili siasa na njia zote za uchumi zimilikiwe na wao!!!!.Hawakuridhika na faida tu ya biashara.
 
Dunia iliisha pita huko..sasa hiv hatuangalii ukabila wako..upende usipende kenyata kaleta maendeleo makubwa kenya..unataka utuludishe nyuma kimaendeleo kama tz iliyo ludi nyuma ya miaka ya stini
 
Back
Top Bottom