Siri ya Serikali kuhamia Dodoma

jerryempire

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
5,128
8,648
Habarini wapendwa,kila mmoja wetu anajua kuwa serikali mpka 2020 itakuwa imeshahamia mjii mkuu wa dodoma huku ikiacha maswali ya kwanini serikali ihamie dodoma na kuacha mji mzuri na wakisasa dar es salaam?

Ukweli ni kwamba serikali ya awamu ya awamu ya tano imeamua kuondoka Dar es salaam na kuhamia Dodoma ikiwa ni kujiimarisha kiutawala na hata kimaamuzi katika ngazi ya taifa na hata kimataifa.Nchi nyingi za afrika zilipata uhuru kutoka kwa wakoloni na wakoloni kurudi makwao huku wakiacha hazina za mali ambazo watazimiliki hadi mwisho wa dunia,

Assets hizo ambazo nyingi ni majengo na ardhi kubwa,kupitia ardhi hizo na majengo hayo serikali nyingi za mabepari zimejikuta zikitutawala na hata kutofanya tulipe mamilioni ya kodi kwa ajili ya hizo assets.

Majengo mengi ya serikali ni mali za hawa mabepari,hivyo maeneo mengi nyeti wameyamiliki wao huku hati zao zikiwa zipo vatcan kwa papa kwa wale walotawaliwa na waingereza,hope hapa unaweza kupata picha kuwa ikulu ya waingereza ndiyo ikulu yetu ya leo hivyo,hata hati yake ipo vatcan kwa papa.

Huenda hata baadhi ya ikulu nyingine za afrika zikawa zinamilikiwa na hawa mabepari hivyo kufanya serikali hizo kuongozwa vile watakavyo wakubwa.

Hivyo kuona hilo mzee wa magogoni akaamua awaachie jumba lao huku akitawala kwa uhuru na kwa mamlaka yote kama raisi wa nchi na siyo mtumwa wa mabwana wakubwa.
Viva magufuli
 
Unataka kusemaje mkuu? Je kipindi Tanganyika inapata uhuru kulikuwa na makubaliano yakuwa baadhi ya Assets ikiwemo majengo na ardhi bado yaendelee kumilikiwa na mkoloni muingereza?
Huenda unajambo unataka utuambia embu tupe kwanza hayo makubaliano
 
Unataka kusemaje mkuu? Je kipindi Tanganyika inapata uhuru kulikuwa na makubaliano yakuwa baadhi ya Assets ikiwemo majengo na ardhi bado yaendelee kumilikiwa na mkoloni muingereza?
Huenda unajambo unataka utuambia embu tupe kwanza hayo makubaliano
Yah makubaliano yaliwekwa mkuu siye tuliyachukua hayo maeneo kama wapangaji tu tena walivyokuwa wajanja hawa waingereza hati zote zilikuwa zipo chini ya papa yeye ndo huzitunza rejea shule ya forodhani dar es salaam ambayo ilikuwa ni ya mission ila serikali ikaikodisha kutoka kwa hawa jamaa but mwisho wa siku ikawashinda wakaamua kuirudisha and now inaitwa st joseph,kwaiyo kuna majengo na mali nyingi sana hasa ofisi nyeti wanazimiliki mpka leo hivyo kupelekea kufanya wanavyotaka
 
Yah makubaliano yaliwekwa mkuu siye tuliyachukua hayo maeneo kama wapangaji tu tena walivyokuwa wajanja hawa waingereza hati zote zilikuwa zipo chini ya papa yeye ndo huzitunza rejea shule ya forodhani dar es salaam ambayo ilikuwa ni ya mission ila serikali ikaikodisha kutoka kwa hawa jamaa but mwisho wa siku ikawashinda wakaamua kuirudisha and now inaitwa st joseph,kwaiyo kuna majengo na mali nyingi sana hasa ofisi nyeti wanazimiliki mpka leo hivyo kupelekea kufanya wanavyotaka


Sasa mbona unaleta hofu nafsini mwangu. Kama ni hivyo hatukupata uhuru
 
Wakoloni walimiliki mashamba makubwa,hati zake ziko hapa na zinafutwa na nyinginezo zinalipiwa kodi na serikali hii hii,kwa nini hizo sababu zako hazisemi hati za maelfu ya mashamba?!
Gharama ya hati na kuhamia dodoma ipi kubwa?! Vipi na reli ya wajerumani nyaraka zake tunalipa kodi wapi?!

Propaganda ya kipumbavu sana!!
 
Muandishi Mmoja aliwahi kusema hapa sababu hasa ya ikulu kuwepo pale ni kimkakati zaidi katika kuitawala zanzibar na kuhakikisha kweli waanajitanua wanavyotaka. Baada ya miaka 20 ya chaguzi hizi zinazoitwa za kideomkrasia ni dhahiri sasa wazanzibari wameamua kujitawala wenyewe na kuendesha Serikali yao kwa jinsi wanavyotaka (Mfuatilie Jaji warioba) na kwamba suala la ikulu kuendelea kuwepo pale sasa limepitwa na wakati. Si maneno yangu. Mwengine alidai hapa Kagame alimshauri Mkulu kuhama baharini maana si salama
 
hik chai kwahiyo ikulu imeshindwa kwenda pale ardhi kwa lukuvi na kuifuta hiyo hati ya vatcan kwa papa na kipata nyingine mpya...by the way kama ikulu haina ama ina hati what wont happen..?
 
Yah makubaliano yaliwekwa mkuu siye tuliyachukua hayo maeneo kama wapangaji tu tena walivyokuwa wajanja hawa waingereza hati zote zilikuwa zipo chini ya papa yeye ndo huzitunza rejea shule ya forodhani dar es salaam ambayo ilikuwa ni ya mission ila serikali ikaikodisha kutoka kwa hawa jamaa but mwisho wa siku ikawashinda wakaamua kuirudisha and now inaitwa st joseph,kwaiyo kuna majengo na mali nyingi sana hasa ofisi nyeti wanazimiliki mpka leo hivyo kupelekea kufanya wanavyotaka
Kwaiyo unataka kutuambia hata hizi nyumba zilizokuwa Msajiri wa majumba baadae NHC nazo nazo tumezichukua kama wapangaji mkuu? By the way serikali iwe ya mkoloni, iwe chini ya CCM na hata ikitokea kuwa chini ya ACT Maendeleo, bado mali zitaendelea kuwa za serikali hasa ukizingatiwa majumba mengi unayoyazungumziwa kuna ambayo yalikuwa yanamilkiwa na serikali ya mkoloni hivyo alivyoondoka mkoloni haimaanishi aliondoka na serikali bali ilibaki serikali chini ya Mtanganyika.

Pia kuna mali zingine za serikali zilipatikana kwa mfumo wa kuzichukuwa kupitia Azimio la Arusha na kuwa mali za serikali na baadhi ya mali hizo ni kama mashule pia na ndio maana kuna baadhi ya shule serikali iliamua kuwarudishia wenyewe ama kugawiwa watu wengine kutokana na mchango wao wa kuelimisha jamii mfano Mazengo Secondary pale Dodoma ilitolewa na kuwa Chuo Kikuu, pia Magamba Secondary kule Lushoto pia hivyo kupewa watu wengine hizo shule haimaanishi zilikodiwa
 
Back
Top Bottom