Siri ya namba saba (7)

Siri ya namba saba (7)

Mbona hakuna mantic yoyote ya namba hizo? Kwa mantiki hiyo kila namba ni ya ajabu.
Macho 2 mikono 2 miguu 2 binadamu mke na mme matako 2 midomo 2

Ulimi 1 siku 1 mwaka 1 mwezi 1 kichwa 1 shetani 1 Tanzania 1

Mafiga 3, 1+2=3 bajaji ina mataili 3

Wewe huni kila namba inavitu vyake? Umedanganywa uadanganyika.

Dakika ina sekunde 60 saa inadakika 60 siku ina masaa 24 wiki ina siku 7 nk.

Mbona hushangai hayo.
 
Jamani kuna siri gani kwenye namba: 7.!?, mbigu ziko 7,ardhi ziko 7, wiki inasiku 7 Tawaf"7 safa na marwa 7, jamarat mawe 7, Maajabu ya dunia 7, milango ya moto 7, shahada herufi 7, Takbira ya idd huwa ni 7, idadi ya bahari ni 7, mabara yapo 7, surat fatiha ina aya 7, viungo vikuu vinavyo sujudu viko 7, na nyota za majina ni 7, watoto wamtume walizaliwa 7, watoto waanze kusali wakiwa na umri wa miaka 7 ,niambie kwa nini halafu tuma kwa watu 7..
na mtoto anaweza kuzaliwa akiwa na miezi 7
 
Hau
Jamani kuna siri gani kwenye namba: 7.!?, mbigu ziko 7,ardhi ziko 7, wiki inasiku 7 Tawaf"7 safa na marwa 7, jamarat mawe 7, Maajabu ya dunia 7, milango ya moto 7, shahada herufi 7, Takbira ya idd huwa ni 7, idadi ya bahari ni 7, mabara yapo 7, surat fatiha ina aya 7, viungo vikuu vinavyo sujudu viko 7, na nyota za majina ni 7, watoto wamtume walizaliwa 7, watoto waanze kusali wakiwa na umri wa miaka 7 ,niambie kwa nini halafu tuma kwa watu 7..
Hakuna maajabu yoyote hivyo vitabu vimeadikwa na watu ndo maana unaona namba zinafanana...stuka mzee
 
Back
Top Bottom