Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,781
Mshiba aka busha ni kitu cha kawaida sana Sehemu za pwani
Japo kuna mishipa mingine ambayo hutokana na kulogwa au ugonjwa lakini kwa watu wa mwambao kuna mishipa ya mapenzi
Yani ukiwa na shipa kubwa basi utawapata sana wanawake, lakini hii fasheni ilikuwa zamani sana, Wakati huo ukiwa na shipa basi mnapokuwa faraghani shipa hulala mapajani mwa mwanamke na kumpa ashki au raha ya ajabu
Wanaume wengi toka bara waliofika pwani wakati huo walirudi kwao na mabusha ya kutengeneza tena waliyanunua kwa bei kubwa, kwakuwa walipokuwa pwani walikosa wapenzi kwa kutokuwa na mshipa
Leo hii mshipa ni ugonjwa unaopigwa vita kwa juhudi kubwa lakini wazee wetu wa zamani hizo mshipa Ulikuwa dili kwenye mahaba
Kumbuka mshipa wa mahaba Ulikuwa haunuki,haupasuki, hautoi harufu mbaya wala haukuwa mzigo
Kama ilivyo leo kwa wanawake wanaotaka kuongeza makalio ili wavutie Wakati huo wanaume walishindana kuwa na mashipa
Imagine leo hii ingekuwaje kama hii fasheni ingerudi
Japo kuna mishipa mingine ambayo hutokana na kulogwa au ugonjwa lakini kwa watu wa mwambao kuna mishipa ya mapenzi
Yani ukiwa na shipa kubwa basi utawapata sana wanawake, lakini hii fasheni ilikuwa zamani sana, Wakati huo ukiwa na shipa basi mnapokuwa faraghani shipa hulala mapajani mwa mwanamke na kumpa ashki au raha ya ajabu
Wanaume wengi toka bara waliofika pwani wakati huo walirudi kwao na mabusha ya kutengeneza tena waliyanunua kwa bei kubwa, kwakuwa walipokuwa pwani walikosa wapenzi kwa kutokuwa na mshipa
Leo hii mshipa ni ugonjwa unaopigwa vita kwa juhudi kubwa lakini wazee wetu wa zamani hizo mshipa Ulikuwa dili kwenye mahaba
Kumbuka mshipa wa mahaba Ulikuwa haunuki,haupasuki, hautoi harufu mbaya wala haukuwa mzigo
Kama ilivyo leo kwa wanawake wanaotaka kuongeza makalio ili wavutie Wakati huo wanaume walishindana kuwa na mashipa
Imagine leo hii ingekuwaje kama hii fasheni ingerudi