Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
Bishanga bwana at least umenifanya nicheke
Miss you more my sweet wifi... Niko pouwa kabisaaa.... nyumbani siku hizi pabaya! Canta kaolewa, Husny kaamia kwa mchumbake, Mwali kaenda shule, Smile anajitegemea, Golden Mpolee ajulikani yupo wapi! Nataka niwatoe watoto boarding waanze kusoma day...lol
Wee wifi mimi naona tubanane na B' tumsifieeeee hadi atugaie mapesa! hahahah
we ndo ulitufundisha ku brag humu ndani,umesahau uzi wako?
Na King'asti nae...?
Daah pole sana lovely wifi manake sipati picha hapo nyumbani palivyopoa... Kumbe husni alivonambia atahamia kwa Judgement kafanya kweli? Mie nilidhani anantania.... Kaka atakubali kweli watoto warudi day? Sina hakika....
Afu wifi mke mwenza King mbona simwelewi?...kama wewe umebahatika kumwelewa tafadhali nijuze ili roho yangu itulie.
Bishanga leo ni wetu, hatumwachi asee.. Chezeiya bepari la kihaya weye?
Pole mpendwa... Everything will be ok kwa uwezo wa Mungu, maadam unahema mpaka leo ni jambo la kumshukuru Mungu! Ila na wewe umekuwa teja la jf, mgonjwa gani hutulii kitandani? Ningekuwa karibu hapo ningemwomba daktari akuchome sindano ya usingizi.. Pole again and get well soon!bado hadi mchana nimewekewa drip hapa au nikuwekee photo?
Nakuaminia kwa masifa!mi mhaya bana!
btw Nitts hajambo? mbona haonekani? au umemfungia ndani kisa wivu?
kwa nini umebadili avatar yako?
Mambo wifi.Bishanga bwana at least umenifanya nicheke
Ashadii,yesterday i said you are a genius but i think you are more than that.Hebu ni-PM,may be you can revive my alraedy lost direction
thax vile tu sina kitu cha kufanya now besides nawalike sana humu . Nashukuru pia mlivonisindikiza vizuri akhera ingawa sikufika .pamoja saaaanapole mpendwa... Everything will be ok kwa uwezo wa mungu, maadam unahema mpaka leo ni jambo la kumshukuru mungu! Ila na wewe umekuwa teja la jf, mgonjwa gani hutulii kitandani? Ningekuwa karibu hapo ningemwomba daktari akuchome sindano ya usingizi.. Pole again and get well soon!
Ukiweza kwenda itakuwa vizuri sana manake utasifiwa kihalali.jamani sasa ndo unanishauri nini,niende kwa wachina?
Kikungu taratiiiiibu..... Ukinisifia kiasi hicho kichwa chaweza burst! I am humbled thou....
Umeniwahi, nilitaka kusema hivyo hivyo..........................!Hela unazogawa.
jamani eh nani mwenye namba ya Kova,Bishanga anaibiwa mchana kweupeeeeeee!Si hua wajisifia mwenyewe?!
Yaani Bishanga mimi nikiona post yako naona raha ajaaabu!
Hivo post zinavozidi kuongezeka idadi ndio jinsi raha yangu yaongezeka.
Nikisoma signature na kuangalia avatar yaani nahisi wewe ndie Mahatma Ghandhi mwenyewe.
Leo hii ilikua usipotokea hapa haki ya nani nimuombe Sweetie anitafutie namba yako kwa udi na uvumba!
Yaani Bishanga hapa jamvini bila wewe sidhani kama mimi naweza endelea kua member.... SIDHANI! :wink2:
Hahahahaaa! Ulianza kujisindikiza mwenyewe bana na sisi ndo tukafuata nyayo zako...thax vile tu sina kitu cha kufanya now besides nawalike sana humu . Nashukuru pia mlivonisindikiza vizuri akhera ingawa sikufika .pamoja saaaana
mnataka kunifanya nini?[/QUOTE]Bishanga leo ni wetu, hatumwachi asee.. Chezeiya bepari la kihaya weye?