fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,033
Habari wadau!
Kuna watu wengi ukiwaambia kuhusu kifo wanaogopa sana, wakati kuitoogopa kifo ni rahisi sana.
TUKUTANE KILELENI.
Kuna watu wengi ukiwaambia kuhusu kifo wanaogopa sana, wakati kuitoogopa kifo ni rahisi sana.
- Siri namba moja ya kutoogopa kifo ni, kutoogopa kufa.
- Siri namba mbili ni, kuishi kama utakufa leo au wakati wowote. Kumbuka kwa wakristo tunaamini kuwa kila nafsi itaonja mauti.
TUKUTANE KILELENI.