Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 4,408
- 6,642
- Thread starter
- #21
😛😛😀Nimegundua kitu, hakuna watu wanaofanya tafiti kama sisi wanaume... Yani muda wote tupo field..
😛😛😀Nimegundua kitu, hakuna watu wanaofanya tafiti kama sisi wanaume... Yani muda wote tupo field..
Kama utafanya hivyo kila siku sehemu unazozipapasa lazima ziote sugu na hatakuvutia tena kumpapasaNimekuwa silencer nguli kwenye hili jukwaa pendwa la MMU. Ki ukweli nakiri ni mdau mkubwa katika jukwaa hili. Niende moja kwa moja kwenye mada
Wajuzi wa mapenzi wamekuwa wengi kwenye hiki kizazi cha nyoka. Kila mtu ana lake. Mimi nimekuja kushare nanyi siri niliyoigundua katika kumpakata mpenzi wangu.
Unapokuwa nyumbani hasa chumbani wewe na mpenzi wako pendelea kumpakata ili kupata wasaha wa kuongelea masuala mawili matatu yahusuyo mapenzi yenu. Nini kinamfurahisha, nini unakipenda kutoka kwake. Na nini unataka kumfanyia siku hiyo(kwenye 6 kwa 6).
Wakati mnazungumza yote hayo mikono yako hakikisha inapapasa kiuno, mgongoni, mapajani, shingoni na maeneo yote yanayoamsha hisia.
Hii ni mbinu ya kumfanya mpenzi wako awe relaxed na inawapa hisia za kwa pamoja. Fanya hivyo mara kwa mara hakika mahusuano yenu yataongezeka thamani.
Nawasilisha
Mbona papuchi haioti sugu?Kama utafanya hivyo kila siku sehemu unazozipapasa lazima ziote sugu na hatakuvutia tena kumpapasa
Unampaka mukiwa uchi au na nguo mkipga storiNimekuwa silencer nguli kwenye hili jukwaa pendwa la MMU. Ki ukweli nakiri ni mdau mkubwa katika jukwaa hili. Niende moja kwa moja kwenye mada
Wajuzi wa mapenzi wamekuwa wengi kwenye hiki kizazi cha nyoka. Kila mtu ana lake. Mimi nimekuja kushare nanyi siri niliyoigundua katika kumpakata mpenzi wangu.
Unapokuwa nyumbani hasa chumbani wewe na mpenzi wako pendelea kumpakata ili kupata wasaha wa kuongelea masuala mawili matatu yahusuyo mapenzi yenu. Nini kinamfurahisha, nini unakipenda kutoka kwake. Na nini unataka kumfanyia siku hiyo(kwenye 6 kwa 6).
Wakati mnazungumza yote hayo mikono yako hakikisha inapapasa kiuno, mgongoni, mapajani, shingoni na maeneo yote yanayoamsha hisia.
Hii ni mbinu ya kumfanya mpenzi wako awe relaxed na inawapa hisia za kwa pamoja. Fanya hivyo mara kwa mara hakika mahusuano yenu yataongezeka thamani.
Nawasilisha
Duh! Sasa kwenye kugegeda si ndio balaaMkuu,kuna wanawake wamekondeana yaani wanamifupa mitupu...wanawake wa namna hiyo ukimpakata mifupa itakuchoma utafikiri umeshika fance ya miiba (barbed wire)
Pia,kuna wanaume wenzetu huwa wanafanya kazi ngumu sana kama vile kulima,kubeba mizigo mizito kama vile wasukuma...msukuma akimpapasa mwanamke huyo mwanamke anaweza hisi anapapaswa na nondo au tofali la block na atachubuka ngozi mwili mzima!
Vyovyote tu mdau wa MMUUnampaka mukiwa uchi au na nguo mkipga stori
Hiyo hapo ya siri ya kumpakata mwanamke. Changua mkuudah napita naelekea mtaa wa pili kwan huu mtaa una habari gan
Pesa ya nini hapo tena.Akishaingia 18 zako wewe mpakate tuKupakata bila pesa Bro!
Hii kali.Mpeleke kwanza GYM akishapungua mpakate. Mbona wenzio tunawapakata wenye misambwanda Dar Dodoma mkuuUshauri mzuri, tatizo linakuja: mke wangu anakilo 98 mm ninakilo 63, nitaweza vip kumpakata hata dar 5 tu nakufanya manjonjo yote hayo?
fundi bishoo mbona unashangaa. Umeshawahi kumpakata mpenzio?aisee
Tusiwafanyie roho mbaya kama jina lako. Tuwapakate hawa viumbe mkuuDah...mwanaume usithubutu kufanya hivyo... Hakuna kipindi hatari kwa mwanaume kama kile kabla ya gem....utapigwa mizinga...utakubali ahadi usizoziweza...nk....Cha msingi jipigie...uwaze ya kesho.![]()
Basi jilegeze nikubebe mgongoni
deka nikudekeze nikutunze kama mboni......