Siri ya kumpakata mwanamke.

Siri ya kumpakata mwanamke.

Nimekuwa silencer nguli kwenye hili jukwaa pendwa la MMU. Ki ukweli nakiri ni mdau mkubwa katika jukwaa hili. Niende moja kwa moja kwenye mada

Wajuzi wa mapenzi wamekuwa wengi kwenye hiki kizazi cha nyoka. Kila mtu ana lake. Mimi nimekuja kushare nanyi siri niliyoigundua katika kumpakata mpenzi wangu.

Unapokuwa nyumbani hasa chumbani wewe na mpenzi wako pendelea kumpakata ili kupata wasaha wa kuongelea masuala mawili matatu yahusuyo mapenzi yenu. Nini kinamfurahisha, nini unakipenda kutoka kwake. Na nini unataka kumfanyia siku hiyo(kwenye 6 kwa 6).

Wakati mnazungumza yote hayo mikono yako hakikisha inapapasa kiuno, mgongoni, mapajani, shingoni na maeneo yote yanayoamsha hisia.

Hii ni mbinu ya kumfanya mpenzi wako awe relaxed na inawapa hisia za kwa pamoja. Fanya hivyo mara kwa mara hakika mahusuano yenu yataongezeka thamani.

Nawasilisha
Kama utafanya hivyo kila siku sehemu unazozipapasa lazima ziote sugu na hatakuvutia tena kumpapasa
 
Nimekuwa silencer nguli kwenye hili jukwaa pendwa la MMU. Ki ukweli nakiri ni mdau mkubwa katika jukwaa hili. Niende moja kwa moja kwenye mada

Wajuzi wa mapenzi wamekuwa wengi kwenye hiki kizazi cha nyoka. Kila mtu ana lake. Mimi nimekuja kushare nanyi siri niliyoigundua katika kumpakata mpenzi wangu.

Unapokuwa nyumbani hasa chumbani wewe na mpenzi wako pendelea kumpakata ili kupata wasaha wa kuongelea masuala mawili matatu yahusuyo mapenzi yenu. Nini kinamfurahisha, nini unakipenda kutoka kwake. Na nini unataka kumfanyia siku hiyo(kwenye 6 kwa 6).

Wakati mnazungumza yote hayo mikono yako hakikisha inapapasa kiuno, mgongoni, mapajani, shingoni na maeneo yote yanayoamsha hisia.

Hii ni mbinu ya kumfanya mpenzi wako awe relaxed na inawapa hisia za kwa pamoja. Fanya hivyo mara kwa mara hakika mahusuano yenu yataongezeka thamani.

Nawasilisha
Unampaka mukiwa uchi au na nguo mkipga stori
 
Mkuu,kuna wanawake wamekondeana yaani wanamifupa mitupu...wanawake wa namna hiyo ukimpakata mifupa itakuchoma utafikiri umeshika fance ya miiba (barbed wire)
Pia,kuna wanaume wenzetu huwa wanafanya kazi ngumu sana kama vile kulima,kubeba mizigo mizito kama vile wasukuma...msukuma akimpapasa mwanamke huyo mwanamke anaweza hisi anapapaswa na nondo au tofali la block na atachubuka ngozi mwili mzima!
 
Mkuu,kuna wanawake wamekondeana yaani wanamifupa mitupu...wanawake wa namna hiyo ukimpakata mifupa itakuchoma utafikiri umeshika fance ya miiba (barbed wire)
Pia,kuna wanaume wenzetu huwa wanafanya kazi ngumu sana kama vile kulima,kubeba mizigo mizito kama vile wasukuma...msukuma akimpapasa mwanamke huyo mwanamke anaweza hisi anapapaswa na nondo au tofali la block na atachubuka ngozi mwili mzima!
Duh! Sasa kwenye kugegeda si ndio balaa
 
Ushauri mzuri, tatizo linakuja: mke wangu anakilo 98 mm ninakilo 63, nitaweza vip kumpakata hata dar 5 tu nakufanya manjonjo yote hayo?
 
Dah...mwanaume usithubutu kufanya hivyo... Hakuna kipindi hatari kwa mwanaume kama kile kabla ya gem....utapigwa mizinga...utakubali ahadi usizoziweza...nk....Cha msingi jipigie...uwaze ya kesho.
 
Ushauri mzuri, tatizo linakuja: mke wangu anakilo 98 mm ninakilo 63, nitaweza vip kumpakata hata dar 5 tu nakufanya manjonjo yote hayo?
Hii kali.Mpeleke kwanza GYM akishapungua mpakate. Mbona wenzio tunawapakata wenye misambwanda Dar Dodoma mkuu
 
Dah...mwanaume usithubutu kufanya hivyo... Hakuna kipindi hatari kwa mwanaume kama kile kabla ya gem....utapigwa mizinga...utakubali ahadi usizoziweza...nk....Cha msingi jipigie...uwaze ya kesho.
Tusiwafanyie roho mbaya kama jina lako. Tuwapakate hawa viumbe mkuu
 
Back
Top Bottom