MI NILIJUA TU MAZOMBI PEMBA WATAAMBULIA ZIRO KATIKA SIFURI.
HAYA SIRI SI SIRI TENA.
...
Siri imefichuka...
Wiki iliyopita mazombi wamepelekwa pemba kufanya hujuma, ila walipofika kule ikaamuliwa watumie mbinu tofauti, kwa kushirikiana na CCM wakapita usiku na kuweka X nyumba za CCM mkoani ili wapate sababu ya kupiga kutesa na kuwafunga vijana wa CUF
Bahati nzuri habari za kutiwa X nyumba zikaenea kupitia ZBC na social media, na kwa vile wenyeji wa lilipotokea jambo hilo huishi kwa pamoja na kusaidiana, wapenzi wa CUF wameamua kukaa pamoja na kutaka kusoma halbadiri ya yoyote yule aliekuja usiku na kuweka X katika nyumba za CCM lazima ajulikane kwa kunuilia na kusoma kisomo na dua ya maapizo
Vijana wa CCM waliposikia hivyo wametoa Siri na kusema kuwa ni wao wenyewe ndio waliofanya kazi hiyo ya kutia X nyumba zao usiku ili ionekane kuwa ni mpango wa wana CUF kupinga uchaguzi wa marudio
HAYA SIRI SI SIRI TENA.
...
Siri imefichuka...
Wiki iliyopita mazombi wamepelekwa pemba kufanya hujuma, ila walipofika kule ikaamuliwa watumie mbinu tofauti, kwa kushirikiana na CCM wakapita usiku na kuweka X nyumba za CCM mkoani ili wapate sababu ya kupiga kutesa na kuwafunga vijana wa CUF
Bahati nzuri habari za kutiwa X nyumba zikaenea kupitia ZBC na social media, na kwa vile wenyeji wa lilipotokea jambo hilo huishi kwa pamoja na kusaidiana, wapenzi wa CUF wameamua kukaa pamoja na kutaka kusoma halbadiri ya yoyote yule aliekuja usiku na kuweka X katika nyumba za CCM lazima ajulikane kwa kunuilia na kusoma kisomo na dua ya maapizo
Vijana wa CCM waliposikia hivyo wametoa Siri na kusema kuwa ni wao wenyewe ndio waliofanya kazi hiyo ya kutia X nyumba zao usiku ili ionekane kuwa ni mpango wa wana CUF kupinga uchaguzi wa marudio