Siri ya Kuchapiwa hii hapa

Wapi nimesema umridhishe mwanamke?
Mkuu mbona mada ipo wazi lakini unapuyanga tuu.
Nimesema ili usichapiwe kitu cha kwanza, shika amri na maagizo ya Mungu. Cha pili, Oa Bikra.
Sasa sijui hayo maneno umeyatoa wapi.
Kwa mantiki yako mkuu unamaanisha kuwa ili usichapiwe umeainisha mambo mawili.

Msimamo wangu ni kwamba HAYATOSHI KUKUFANYA USICHAPIWE.
 
Kwa mantiki yako mkuu unamaanisha kuwa ili usichapiwe umeainisha mambo mawili.

Msimamo wangu ni kwamba HAYATOSHI KUKUFANYA USICHAPIWE.

Utakuwa hufikiri vizuri Mkuu.

Hivi unajua kushika amri za Mungu ndio kila kitu kwenye huu ulimwengu?
 
Utakuwa hufikiri vizuri Mkuu.

Hivi unajua kushika amri za Mungu ndio kila kitu kwenye huu ulimwengu?
Nafikiria vizuri tu mkuu.

Tatizo wewe unaweza imani kubwa sana kwenye hii jinsia, wapo walioamini kuwa wanawake wao kupita kiasi.

Hujawahi sikia thread humu kuwa pastor anakula mke wa jamaa?
 
Nafikiria vizuri tu mkuu.

Tatizo wewe unaweza imani kubwa sana kwenye hii jinsia, wapo walioamini kuwa wanawake wao kupita kiasi.

Hujawahi sikia thread humu kuwa pastor anakula mke wa jamaa?


Narudia, sijasema mtu amuamini mwanamke. nilichosema Shika amri na Magizo ya Mungu.
Mhubiri 12
12 Tena, zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo; hakuna mwisho wo wote wa kutunga vitabu vingi; na kusoma sana huuchosha mwili.
13 Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa; Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, Maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.
14 Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.
 
Mada tamu sana.

Ngoja nivute seat niendelee kuona michango mingine ya wadau.
 
Mada tamu sana.

Ngoja nivute seat niendelee kuona michango mingine ya wadau.


Mkuu Hii ni mada Muhimu. Inafundisha na inaonya. Inatufanya tuone athari ya zinaa katika familia zetu, katika uchumi wetu na katika karibu kila kitu tunachokifanya.

Baadhi wataona kuwa huenda nawapendelea wanaume lakini ukweli ni kuwa unapozungumzia ishu ya mapenzi mwanamke ndio anapewa majukumu mengi kuliko mwanaume. Mwanamke ndiye anapewa bikra, anayepewa Mimba, mwanamke ndiye anayezaa kwa uchungu akijifungua, anayepewa maziwa ya kunyonyesha. Haya yote ni matokeo ya mapenzi kwa upande wa mwanamke.

Njoo kwa mwanaume, zaidi ya mwanaume kukojoa/kupizi kuna lingine broo?
Au Mungu alipotoa adhabu pale edeni unafikiri ni kwa nini adhabu zake kwa mwanamke zilijikita sana kwenye ishu ya ngono?
Nimekuambia fikiri vizuri kuhusu ishu hii.
 
Vp wanawake decent waliobakwa na kutolewa bikira wanaangukia kund gan?! Unadhan yule aliembaka akimpenda huyo dada na kumjali anaweza kuweka moyo wake wote hapo?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vp wanawake decent waliobakwa na kutolewa bikira wanaangukia kund gan?! Unadhan yule aliembaka akimpenda huyo dada na kumjali anaweza kuweka moyo wake wote hapo?!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sheria za Ubakaji si zipo Mkuu?
Mbona watu mnafanya jambo hili kuwa gumu wakati ni uji. Nakupa andiko kuhusu wabakaji

Kumbukumbu la torati 22
25 Lakini yule mtu mume kama akimkuta kondeni kijana aliyeposwa, naye mume akamtenza nguvu, akalala naye; yule mtu mume aliyelala naye na afe pekee;
26 lakini yule kijana usimfanye neno; hana dhambi yule kijana ipasayo kuuawa, kwa kuwa ni mfano wa mtu kumwondokea mwenzake akamwua, ni vivyo lilivyo jambo hili;
27 kwani alimkuta kondeni; yule kijana aliyeposwa akalia, pasiwe na mtu wa kumwokoa.

Sheria Tanzania ni kufungwa miaka 30. Hivyo hapo hakuna ndoa.
 
Haya ni maandiko enzi za hukumu kwa torati. Sahv tunakombolewa kwa Neema. Ina maana dhambi imekuwa kubwa kias kwamba tukitumia torati haponi mtu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh aisee, hata mimi hili jibu limeniacha na bumbuwazi.
 
Rais anatuwazia viwanda
Wananchi tuko busy na mapenzi.

Ila ulichosema ni ukweli mtupu.
Ni points 2 za uhakika.
Hiyo ya kwanza hasa ikizingatiwa ina faida nyingi mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nikuulize mtoa mada. Imeandikwa wapi kuwa usiposhika amri za Mungu utachapiwa?

Na imeandikwa wapi kuwa malipo ya dhambi za mwanadamu ni hapahapa duniani?

Kwa uelewa wangu ni kwamba amri pekee yenye zawadi ni ile ya nne. Nayo inasema waheshimu baba na mama upate heri na miaka mingi duniani.

Sasa tukirudi kwa binadamu utagundua kuwa sisi ni viumbe pekee tuliopewa bahati ya kujirekebisha tunapokosea. Na kwa neema hiyo tuliyopewa basi binti anaweza akakosea katika mahusiano na kujikuta anaolewa akiwa sio bikra lakini akajiheshimu na kuitunza ndoa yake bila kuchipuka. Na mwanaume pia anaweza kuwa na makosa yatakayopelekea mkewe kuchepuka lakini akajirudi na mwisho wa siku mke anatuliaa.. Sasa kwa muktadha huo naomba niipinge hoja yako. Japo ni muhimu kushika amri za Mungu lakini si kwa kutishiana kuchapiwa. Unaweza ukashika amri zote na bado ukachapiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…