Nikukumbushe tu "Magufuli alichaguliwa kuwa mgombea wa CCM kwa bahati mbaya"sio kutetea mkuu...kama nilivyosema sie kuna mengi tusiyoyajua....kuna watu walikuwa na dhamana hiyo.
ila kumbuka kuwa yule jamaa aliingia kwa kagoda...kwahyo ilimpasa kuondoa u boyz 2men kumpata magufuli....hawawez kumchafua maguful kwa maana kaingia kwa kura za watz ka utakumbuka mafisadi walienda muunga mwenzao na kuangukia pua
Rais hafanyi kazi kwa majungu na fitna
Nimeshindwa kumaliza kusoma too long news
...kama ni kweli basi tunazidi kukusanya ubovu wa utawala ulioondoka TZ...maana ni JK ndie aliwasamehe wezi wa EPA badala ya kuwaadhibu...pia tumeshuhudia mbele ya tv akiwaonea haya wapiga dili wa escrow...tena wengine amewapa vyeo baada ya scandal ya escrow....
....kama tulivyowahi kusema kabla.....ubovu wa utawala wa JK (na JK mwenyewe)utatamalaki pale atakapokuja rais makini TZ....na sasa tunaona...mengi yatafichuliwa....maana sasa kila mambo ya hovyo yanayofichuliwa yanaunganishwa na utawala ulioondoka....hawasemwi awamu ya kwanza, ya pili au ya tatu bali watasemwa utawala wa nne....maana wamekaa madarakani miaka 10....na kwa muda huo ilitosha wamalize mambo yote ya hovyo waliyoyakuta(ambayo sidhani kama ni mengi kama ya utawala wa awamu ya nne)......
Kama Kikwete alikuwa hafai kwa nini wana CCM walikuwa wanampamba kwa nyimbo kama vile ni malaika aliyekuwa ametumwa kukomboa Tanzania.
kesho anaenda denmark
Mnanikumbusha wakati mkapa anaingia madarakani Mwinyi alichafuliwa hadi kunuka ... Mkapa alipotoka madarakani ikawa kimya huku akiwa ameuza nchi !!! Leo ametoka Kikwete Madarakani lazima anuke .... Chezea Roman Empire wewe ...
Mkuu huyu prof hata mie nilihudhuria mkutano wake mmoja 2005 alikua akimchana mkwere live kuwa kama tunataka Rais mcheza disco na mambo kibao ya ajabu basi tumchague, ajabu Wadanyika wakafanya yao hv ss wanamlaumu.Kuna watu wenye akili zao waliliona mapema. NASHUKURU SIJAWAHI NA SINTAWAHI KUMPIGIA KURA MWANA CCM YOYOTE.Huwa namkumbuka sana Prof Lipumba pamoja na mapungufu yake kama binadamu hasa hapa karibuni, wakati wa kampeni 2005 alikuwa anasema, 'tatizo wa TZ wengi hawamjui Kikwete, Tanzania haiwezi kusonga mbele kwa lolote Kikwete akiwa Rais, ni mtu wa MIZAHA/MZAHA zaidi'.