lizibonlambalamba walikuwa wakiambiwa humu kuwa jk ni msanii wanatoka mapovu!
lizibonlambalamba walikuwa wakiambiwa humu kuwa jk ni msanii wanatoka mapovu!
Hata mm ananiboa kwa mizaha huyu jamaa. Mfano jana alipokuwa akiongea baada ya usafi akasema "kuna waandishi wanasema hapa JK hachomoi....kwani nimechomeka mini??"
Mambo ya kiswahili kwenye issue serious. Waandishi walitaka kujua kama amewahi kutoa makontena pale bandarini kwa vimemo ama kumsaidia mfanyabiashara yeyote kukwepa kodi akaanza kuchekacheka na kufanya mizaha kama hiyo.
Nchi yetu hakika ilikuwa kwenye likizo ya kiuongozi.
Umesahau ESCROW wewe acha hizo. Huwezi kumtofautisha Rais aliye madarakani na Ukwepaji kodi au ufisadi. Tunyamaze tu tusichimbue makaburi ili inchi (kama asemavyo mzee wa kiraracha) yetu isonge mbele maana hata tukikamatana uchawi fedha haitarudi. Kunyamaza ni dawa na uking'atuka ng'atuka kweli pumzika achana na vyombo vya habari!!!!!!sio kutetea mkuu...kama nilivyosema sie kuna mengi tusiyoyajua....kuna watu walikuwa na dhamana hiyo.
ila kumbuka kuwa yule jamaa aliingia kwa kagoda...kwahyo ilimpasa kuondoa u boyz 2men kumpata magufuli....hawawez kumchafua maguful kwa maana kaingia kwa kura za watz ka utakumbuka mafisadi walienda muunga mwenzao na kuangukia pua
Lambalamba walikuwa wakiambiwa humu kuwa JK ni msanii wanatoka mapovu!