Siri ya kaburi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,148
Reaction score
829,071
Pamoja na upweke wake na kuogofya kwakwe kwa wale walio hai inawezekana wafu wenyewe wakifika huko ni full shangwe, full bata, full maokoto
Kuna simulizi za kusadikika kwamba huko makaburini kuna maisha yanaendelea kama huku duniani tuu .. Tofauti yake ni kwamba huku tunasubiri kufa ila wao huko wanasubiri kufufuliwa

Hii picha imenifikirisha sana
Zaidi soma


 
mbona huyo ana bikira wawili sisi tumambiwa ni bikira 72,!? au mudi kaanza kutupigaa😂😂 any way,.

Maisha ni kristo kufa ni faida, ukiwa mchafu baada ya kifo chako nafsi chafu zitakuzonga na kukutesa
 
mbona huyo ana bikira wawili sisi tumambiwa ni bikira 72,!? au mudi kaanza kutupigaa
any way,.

Maisha ni kristo kufa ni faida, ukiwa mchafu baada ya kifo chako nafsi chafu zitakuzonga na kukutesa
Oohoooo
 
mbona huyo ana bikira wawili sisi tumambiwa ni bikira 72,!? au mudi kaanza kutupigaa😂😂 any way,.

Maisha ni kristo kufa ni faida, ukiwa mchafu baada ya kifo chako nafsi chafu zitakuzonga na kukutesa
Hio misalaba huioni mwana
 
Hii sawa na kusema ukienda jela nako utakula bata wakati hata bar ya kupata moja moto moja baridi hakuna. Kuna Manyapara na kipigo chao
 
Hii sawa na kusema ukienda jela nako utakula bata wakati hata bar ya kupata moja moto moja baridi hakuna. Kuna Manyapara na kipigo chao
Hapana jela ukipajulia ni mahali penye bata la kila aina.. Ila usiende kwa kesi za kijuha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…