simon mato
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 926
- 485
Wewe si ndo nimesikia umepewa kazi za kudeki vyoo vya ufipa!mkuu,unawania nafasi ya kufagia ofisi Uhuru Publications?
Wewe si ndo nimesikia umepewa kazi za kudeki vyoo vya ufipa!mkuu,unawania nafasi ya kufagia ofisi Uhuru Publications?
Alikaa pembeni baada ya figisufigisu za Seif kumkinai hasa alipompokea Lowassa bila kumshirikisha Mwenyekiti wala kikao cho chote cha chama.We kipofu, Lipumba hakutimuliwa ameondoka kwa kujiuzulu nafasi yake kwa maandishi. Wake up
lakini wakati anajiuzulu alisema tatizo ni Lowassa sio Maalim Seif.Lengo hapa sio kupambana na wabunge wa CUF,Target hapa ni Maalim Seif na misimamo yake.
bora mimi niko kibaruani.Wewe si ndo nimesikia umepewa kazi za kudeki vyoo vya ufipa!
Usijitie upofu , wakati lowasa anakaribishwa lipumba alikuwa na taarifa, picha zilituonesha hivyo.Alikaa pembeni baada ya figisufigisu za Seif kumkinai hasa alipompokea Lowassa bila kumshirikisha Mwenyekiti wala kikao cho chote cha chama.
Hakujiuzuru kwani utaratibu wa kujiuzuru haukukamilika kwa mjibu wa taratibu, kanuni na sheria husika. Ndiyo maana Msajili kamurudisha. Hukubali nenda mahakamani.
Ukiskia kelele ujue tayari!!Jiwe la gizani.Yani mgombane wenyewe,then ccm ihusishwe?
Wacha kuihusisha ccm na mambo ya kipumbavu.
Msamehe tu. Huyo jamaa anatafuta hela ya mlo. Njaa mbaya sana. Na ni mbaya zaidi ukiiendekeza. Huoni Profesa anayofanya? Tatzo ni njaa.ulitaka tuwaone ni wenzetu wakati wa kuchangia bajeti yetu tu? mdomo huo huo unawakashifu wazungu,mdomo huo huo unabugia misaada yao. mwe!
Mbona unasahau mapema?umesahau issue ya uchaguzi oct mwaka jana???acha hizoHivi CUF wanaakili kweli kwenda kuishtaki Tanzania Jumuiya za Kimataifa??
Mbona unasahau mapema?umesahau issue ya uchaguzi oct mwaka jana???acha hizo
mzee usiwe kama Samaki umesahau uchaguzi wa Oct kilichotokea?kidogokidogo tutaelewa tu.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Leo nimekutana na Vijana wa ukawa wanafuraha kuwa Tanzania itawekewa vikwazo na Jumuiya za Kimataifa
Nikawauliza, Unafikiri Tanzania ikiwekewa vikwazo nani ataathirika?... Je Zanzibar ikiwekewa vikwazo Shein ataathirika?
Hawakuwa na majibu ya kueleweka.. Nikajua kuwa vijana wengi wa ukawa akili zao zipo kwenye makalio
Lazima uwe mwendawazimu kuamini kuwa Tanzania ni sawa na Marekani au Uingereza au Simiyu ni sawa na Dar eti kwa sababu yote ni mikoa.Hizi fikira potofu ya kuzani Amerika, Uingereza na nchi zingine za ulaya ni sovereign zaidi ya nchi za Africa zitatutoka lini? Fikira za kuzani bado tunatawaliwa na wazungu. Mkigombana hata kidogo tu fikira zenu ni kwenda kushitakiana kwa mzungu. Kweli bado kuna waafrika wenye mgando wa akili namna hii? Mbona nchi za Asia na mabara mengine hayana watu wa fikira mgando kama hizi. Tanzania is a sovereign country like the USA, UK or any other European country. Our poverty does not make us less sovereign. In fact we are not poor in all aspects and even them are not rich in all aspects.
Mvurugano wa CUF kausababisha Maalimu Seif kwa kujifanya kuwa yeye ana madaraka makubwa kuliko Mwenyekiti wa chama chake. Yaani Mwenyekiti yuko chini yake. Hii ulishaiona kwenye chama kipi? Yaani Mbowe awe chini ya Mashilingi au Magufuli awe chini ya Kinana? Only in CUF it has existed and the Registra has ordered to stop such an unconstitutional affair. You free to appeal to our High court or you may again go to the wazungu to appeal.
Yaani Seif anamtimua kwenye chama mwenyekiti wake. Na hii si mara yake ya kwanza. Alimtimua Mapalala sasa kwa Lipumba amekwaa kisiki na atatimuliwa yeye hivi karibuni. Yaani just imagine Mashilingi amtimue Mbowe halafu ikubalike? Mrema alipokuwa mwenyekiti wa NCCR alitimuliwa na wakina Mabere, halikukubalika na Mrema aliwageuzia kibao akawatimua wakina Mabere. Huu mfano wa Mrema si sawa kabisa na huu wa Lipumba. Kaeni mkao wa kula.
We bwana we! Lipumba alitimuliwa au alijiuzuru mwenyewe uenyekiti, sasa kulikoni karudi?!??Hizi fikira potofu ya kuzani Amerika, Uingereza na nchi zingine za ulaya ni sovereign zaidi ya nchi za Africa zitatutoka lini? Fikira za kuzani bado tunatawaliwa na wazungu. Mkigombana hata kidogo tu fikira zenu ni kwenda kushitakiana kwa mzungu. Kweli bado kuna waafrika wenye mgando wa akili namna hii? Mbona nchi za Asia na mabara mengine hayana watu wa fikira mgando kama hizi. Tanzania is a sovereign country like the USA, UK or any other European country. Our poverty does not make us less sovereign. In fact we are not poor in all aspects and even them are not rich in all aspects.
Mvurugano wa CUF kausababisha Maalimu Seif kwa kujifanya kuwa yeye ana madaraka makubwa kuliko Mwenyekiti wa chama chake. Yaani Mwenyekiti yuko chini yake. Hii ulishaiona kwenye chama kipi? Yaani Mbowe awe chini ya Mashilingi au Magufuli awe chini ya Kinana? Only in CUF it has existed and the Registra has ordered to stop such an unconstitutional affair. You free to appeal to our High court or you may again go to the wazungu to appeal.
Yaani Seif anamtimua kwenye chama mwenyekiti wake. Na hii si mara yake ya kwanza. Alimtimua Mapalala sasa kwa Lipumba amekwaa kisiki na atatimuliwa yeye hivi karibuni. Yaani just imagine Mashilingi amtimue Mbowe halafu ikubalike? Mrema alipokuwa mwenyekiti wa NCCR alitimuliwa na wakina Mabere, halikukubalika na Mrema aliwageuzia kibao akawatimua wakina Mabere. Huu mfano wa Mrema si sawa kabisa na huu wa Lipumba. Kaeni mkao wa kula.