Siri kubwa ya ulimwengu,,,,ukiumia/kutukanwa au kuzomea ujue umeepuka jambo baya sana mbeleni mfano

mwibamwiba

Senior Member
May 22, 2015
150
38
Ikiwa utaumia kwa kujigonga au ajali ndogo ya barabarani kama baiskeli au kujikwaa na damu ikatoka basi ujue umeepushwa na ajali mbaya sana ambayo ingetokea mbeleni mbeleni,na ikiwa mtu au watu watakutukana au kukuzomea basi umeikwepa aibu kubwa ya kuzomewa ambayo ingekuwa kubwa mara mia ya zomea ya mwanzo liyokutokea.mfano wanasiasa huruhusu kuchafuliwa kabla ya kushinda uchaguzi au mda mfupi baada ya kushinda ili wapate kashfa yoyote ile ili kuifanya jamii ione kitu cha kawaida huko mbeleni ikiwa atayakoroga mambo. ili ikitokea nguvu kubwa ya asili inayounganisha umma inakuwa imemezwa na tukio la mwanzo,

ndio maana basi hasira dhidi ya watu au mataifa inapokuwa kwa kiwango kikubwa mataifa huruhusu makabiriano ili kuepusha mambo makubwa na mabaya zaidi siku za usoni mana hayo yakiisha basi ari na chuki miongoni mwao huwa haipo tena,na wakati mwingine ajali huruhisiwa kwa vyombo husika kutokusimamia ipasavyo ili kuepusha ajali zingine mbaya zaidi mbeleni maana nguvu ya asiii itaingia ktk watu na kuwa na tahadhari automatic,ndio mana basi baadhi ya madhehebu duniani kama shia hujakata kichwani kuruhusu damu,kuepuka maumivu ktk jamii zao kwa njia hiyo,mataifa makubwa huruhusu michezo ya hatari kabisa duniani ikiwemo mbio za magari,uogeleaji kwa kudive kina kirefu,mbio za pikipiki,lakini msingi mkuu unatokana na Muumba mwenyewe kumtoa.....ili sisi wanadamu tuepushwe na dhambi kubwa ambayo bila hivyo tungekuja kujuta.kwa hiyo hii ndio siri na hata ktk siasa watu hujiuzuru kuepusha kizazi na kizazi juu ya tamaa ya madaraka maana nguvu kubwa ya umma kwa sauti moja ambayo inaaminika ni sauti ya Mungu ikimtaka mtu ajiuzuru na akapuuza basi mbeleni ataleta shida kubwa na hata kuleta mkosi kwa jamii hiyo,ninamheshimu sana mtu anaekubali nkujiuzuru kwa manufaa ya uma maana ni maamuzi magumu kwelikweli
 
U have a point but kaa tafakar na uandike upya kwa lugha yenye mtiririko unaoeleweka..No hard feelings
 
Usiine aibu kujifundisha kuandika. Kuwa na wazo zuri nikitu kingine na kukiweka kwenye maandishi ni kitu kingine.
Ikiwa utaumia kwa kujigonga au ajali ndogo ya barabarani kama baiskeli au kujikwaa na damu ikatoka basi ujue umeepushwa na ajali mbaya sana ambayo ingetokea mbeleni mbeleni,na ikiwa mtu au watu watakutukana au kukuzomea basi umeikwepa aibu kubwa ya kuzomewa ambayo ingekuwa kubwa mara mia ya zomea ya mwanzo liyokutokea.mfano wanasiasa huruhusu kuchafuliwa kabla ya kushinda uchaguzi au mda mfupi baada ya kushinda ili wapate kashfa yoyote ile ili kuifanya jamii ione kitu cha kawaida huko mbeleni ikiwa atayakoroga mambo. ili ikitokea nguvu kubwa ya asili inayounganisha umma inakuwa imemezwa na tukio la mwanzo,

ndio maana basi hasira dhidi ya watu au mataifa inapokuwa kwa kiwango kikubwa mataifa huruhusu makabiriano ili kuepusha mambo makubwa na mabaya zaidi siku za usoni mana hayo yakiisha basi ari na chuki miongoni mwao huwa haipo tena,na wakati mwingine ajali huruhisiwa kwa vyombo husika kutokusimamia ipasavyo ili kuepusha ajali zingine mbaya zaidi mbeleni maana nguvu ya asiii itaingia ktk watu na kuwa na tahadhari automatic,ndio mana basi baadhi ya madhehebu duniani kama shia hujakata kichwani kuruhusu damu,kuepuka maumivu ktk jamii zao kwa njia hiyo,mataifa makubwa huruhusu michezo ya hatari kabisa duniani ikiwemo mbio za magari,uogeleaji kwa kudive kina kirefu,mbio za pikipiki,lakini msingi mkuu unatokana na Muumba mwenyewe kumtoa.....ili sisi wanadamu tuepushwe na dhambi kubwa ambayo bila hivyo tungekuja kujuta.kwa hiyo hii ndio siri na hata ktk siasa watu hujiuzuru kuepusha kizazi na kizazi juu ya tamaa ya madaraka maana nguvu kubwa ya umma kwa sauti moja ambayo inaaminika ni sauti ya Mungu ikimtaka mtu ajiuzuru na akapuuza basi mbeleni ataleta shida kubwa na hata kuleta mkosi kwa jamii hiyo,ninamheshimu sana mtu anaekubali nkujiuzuru kwa manufaa ya uma maana ni maamuzi magumu kwelikweli
 
Back
Top Bottom