Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    545
Hahahaha,

Nkuulize swali, NASA huwa wanatoa taarifa mapema sana kuwa siku fulani na kuanzia saa fulani na ni sehemu gani effect itakua kubwa zaidi.....UNADHANI WANAJUA KWA KUOTEA ? kama hawajui mzunguko wa hili gimba letu ??


Au labda niambie wewe mtaalamu ni hesabu gani wanatumia haha
Nawapa credit kwa juhudi zote wanazofanya kwenye kuuelewa ulimwengu,.....Mimi Sipo hapa kuonyesha kwamba wao ni wapuuzi au hawafai kabisa bali ishu ni kwamba mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka 👉🏼🌍.......so kwa kuwa hakuna uthibitisho na intuitives zinaonyesha dunia ipo stationary & flat....Then we should trust own own intuitives until proven otherwise.
 
1. Kuelewa Newtonian mechanics, Relativity theory na kadhalika..... haimaanishi kwamba physical laws za Dunia au universe Kwa ujumla wake zinafanya kazi kama ilivyoelezewa kwenye theories ulizokariri....

2. Kuhusu atmospheric pressure nilishajibu previously kwamba inasababishwa na mgandamizo wa hewa,..au unahisi atmospheric pressure inasababishwa na kitu gani hasa mpaka umeamua kuuliza? Na nikasema kabisa the so called atmospheric pressure unaweza ukaihisi hata Kwa milango ya fahamu Kwa kuwa ndiyo effect yake huweza kuonekana either sauti au ku move Kwa objects tofauti tofauti kama miti,.Ndege(birds) na hata binadamu anakuwa affected na atmospheric pressure at some point 🤝🏼.

3. Kanuni ya Maji siku zote huwa yanafuata level yake,...hivyo basi maji ya Salender bridge unayaona yakisafiri kwa kuwa yanatoka kwenye eneo la juu na kuelekea kwenye mteremko mpaka pale yatakapokutana na level yake.....lakini pia ukiacha kanuni ya maji kufuata level,..kitu kingine kinachofanya uyaone maji yakisafiri ni Kwa kuwa maji yenyewe on it's own yana pressure na uzito!


naamini nimejaribu kujibu kadri inavyowezekana.
Tungekuwa na waalimu Aina yako watoto wote wangekuwa wanapiga F
Okey tuseme hayo maji yanaelekea kwenye mteremko..huo mteremko upo upande upi? Ina maana huo mteremko unabadirika badirika? Maana huwa yanarudi tena

Na pia kuhusu atmospheric pressure huo mgandamizo unasababishwa na kitu gani? Yaani kitu gani kinagandamiza hiyo hewa?

Hizo theory sikukariri Kwanza ili uzielewe lazima uwe na uelewa mkubwa Sana na ndo maana kwenye special relativity Enstein hakuhusisha gravity baada ya maswali mengi akaja na general relativity ten years later Bado hakufuta neno gravitation aliondoa neno force akaweka gravitation field halafu hajawahi kusema dunia ni flat
 
Umeshaelekezwa sana ila kichwa chako ni kigumu kuelewa,


Ungekua umeelewa usingekua na maswali kama "Location ya curvature ipo wapi"


Yani ni swali ambalo linakuonyesha wewe ni mweupe bado na huwezi kuelewa kitu.


Mkuu hata hapo ulipo ni curvature.



Unasema sisi tunaamini, Sio tunaamini ila tunatumia elimu pamoja na ufahamu wetu kupambanua mambo,

Ila wewe ndio unatumia imani,

Maana ungekua unatumia uhalisia hadi muda huu ungekua na majibu ya kingo za dunia zipo wapi kinadharia yako, Ila kwakua unatumia imani hautakuja kuleta huo uthibitisho kamweee..
NAona Chief umekazania kweli kweli hizo kingo wakati ameshajibu hili tandiko la ardhi ni kubwa mno kiasi kwamba you can't get there. Halafu swali la kizushi tu kwanini "wenye dunia" yao hawataki mtu wa kawaida asogelee lile bara la barafu?
 
Ulichosema uko sahihi hata Quran inathibitisha kwamba ni kweli jua ndio inalolizunguka dunia na sio dunia inayolizunguka jua
 
IMG_5794.jpeg



Hizi ni organization ambazo hujawahi kufundishwa na nyingine ndo unazijua leo, nitaelezea kwa ufupi but fatilia mwenyewe deep uzijue kwa undani.

1. OPERATION HIGHJUMP (1946).
(DISCOVERY OF THE ICE WALLS)

hii operation iliweza kugundua uwepo wa Ice walls ambazo zina act kama container kwa maji yote ya bahari. Antartica sio bara kama tunavyoambiwa bali ni Ice walls ambazo zimeizunguka Dunia yote ndo zinaya keep maji ya bahari, kumbuka maji yanahitaji container. Ukiangali vizuri hio logo ya “operation highjump” pembeni haina tofauti na ile ya UN, hizo pembeni ndo ICE WALLS zenyewe.


2. OPERATION DEEP FREEZE (1955)
(DISCOVERY OF THE FIRMAMENT)

Kupitia hii operation ndo waligundua kuna kitu kinaitwa Firmament ambayo ipo juu na pembeni, we under the God’s firmament hakuna anayeweza kutoka au kuingi, na juu kuna maji.


3. NASA ilinzishwa (1958)

Mpaka kufikia mwaka 1960 ramani ya dunia ilikuwa ni flat kabla ya NASA kuanza kuja na ma theory yao. NASA ilianzishwa kimkakati na ni Satan Organization ambayo inasimamia show zote za space na organization nyingi hapa duniani ziko under NASA control. NASA ni neno la kiebrania ambalo ukilitafrisi kwa kiingereza ni “deceive” na ukileleta kwa kiswahili ni “kudanganya au kupinga”. Wanapinga nini? uumbaji wa Mungu, unaweza jiuliza hivi wakitudanganya wanapata faida gani?, ukweli ni kwamba hawataki uujue uumbaji halisi wa Mungu kuhusu hii Dunia.

Baada ya NASA kuanzishwa walikuja na “VAN ALLEN BELT” ambapo walisema kwamba huwezi kuvuka kwenye hii horizon, lakini ukweli Van allen belt ndo firmament yenyewe. NASA wanasema Van allen belt distance kutoka duniani ni kuanzia 1000km-12,000km, swali la kujiuliza mimi na wewe waliwezaje kwenda mwezini umbali wa 240,000km??🤷🏻‍♂️.


4. ANTARTIC TREATY (1959)
(GUARDING THE FIRMAMENT)

Baada ya kugundua uwepo wa mwisho wa dunia huko Antartica wakaja na antartica treaty na mataifa karibu yote yamesign huu mkataba. Ukifuatilia sababu why? watakwambia sababu ya kulinda mazingira, unabaki unajiuliza hivi ni nani aende huko?. Ukweli wanoficha hawataki mjue ndomana angle zote zinalindwa kwa Ulinzi mkali.

5. OPERATION FISHBOWL (1962)
(NUKING THE FIRMAMENT)

Series of high altitude nukes zilitumwa angani kujaribu kuvunja firmament ya juu ili waone kama wataweza kutoka nje ya Dunia, lakini hawakufanikiwa na mpaka leo wanaendelea na hii project na nyuma akiwepo master mind mwenyewe Elon musk, lakini hawatafanikiwa.

6. APOLLO

Wote tunajua APOLLO ndo wanafanya operation za mwezi na masuala mengi tu ya space na wako chini ya NASA. Wanadanganya wameland mwezini, mara wamefika Mars na madudu kibao lakini ni uongo mtupu.

Twende Direct kwenye Antartica.

Antarctica sio Bara! Hapo chini nimekuwekea ramani ambazo ziko proved both scientifically and practically, ndio raman ambayo kila Pilot wa ndege anatumia. Sasa Huo weupe unaouona unaozunguka 360° ni kitu kinaitwa ICE WALLS. Ziliumbwa na MUNGU mwenyewe kwaajili ya kukeep yale maji yote ya bahari yalio kwenye Flat Earth ili yasifall kwenye edges! Hilo walipoligundua wakaficha na wakabadilisha wakaitwa Bara la Antarctica! Tukadanganywa.

Ushahidi wa Kibiblia about Ice walls 👇
(Methali 8:27-29 "Alipozithibitisha mbingu nalikuwako, alipopiga DUARA KATIKA USO WA BAHARI. Alipoipa bahari mpaka wake kwamba maji yake yasiasi amri yake alipoiagiza misingi ya nchi") Ukitumia ya kingereza itakua vizuri zaidi!

Ukienda Kule Antarctica huruhusiwi kuvuka behind the walls! Kuna ulinzi mkali sana tena maalum wa special forces wa NASA. Wanaruhusu researchers wao tu na labda tourist nao huwa wanapelekwa maeneo ya hapo mbele tu na wanakua wamethibitishwa sana ili kwenda. Mataifa yote yamesign makubaliano ya kutokwenda kule hata Tanzania.

Kwanini? Sababu behind Ice walls is where exact the Earths edges are and probably the firmament is settling down the ground level. Lakini pia uwezekano upo kwamba Mungu alificha firmament to the ground level kama alivoficha bustan ya Eden na vitu vingine baada ya dhambi kuingia, maana alijua haya yote tungejaribu kuanza kuidestroy kama wanavotuma rocket kupasua ile ya juu.

Lakini the fact is that, behind the ice walls there's something, ni uhakika ndio edges zilipo na there's a lot of land behind the walls ambayo huwenda firmament to the ground level ipo haijafuchwa na MUNGU.

Kwanini wanafanya ulinzi mkali huko? Jiulize ni nini wanatuhide?? Ni nini hawataki tukijue??, fanya Research mkuu.

So edges zipo ni vile tuko limited na ANTICHRIST tuone, tuskie, wanatuamlia tufatilie wanachotaka wao tu n.k

Angalia hata United Nations official Logo mekuekea hapo, ina raman ya Flat Earth na lile lilozunguka ndio Ice Walls zenyewe. Na wanajua ukweli ila sisi ndio tunadanganywa.

Tunaishi kwenye Dunia Flat iliofunikwa na Firmament. Mungu hajawah ficha kitu, yote yameelezewa kwenye Biblia, na hata scientifically tunaweza kuyaprove. Good luck

IMG_5912.jpeg
 

Attachments

  • IMG_5911.jpeg
    IMG_5911.jpeg
    89 KB · Views: 3
NAona Chief umekazania kweli kweli hizo kingo wakati ameshajibu hili tandiko la ardhi ni kubwa mno kiasi kwamba you can't get there. Halafu swali la kizushi tu kwanini "wenye dunia" yao hawataki mtu wa kawaida asogelee lile bara la barafu?
Nani alikuongopea hakuna anayeenda ?
 
Nawapa credit kwa juhudi zote wanazofanya kwenye kuuelewa ulimwengu,.....Mimi Sipo hapa kuonyesha kwamba wao ni wapuuzi au hawafai kabisa bali ishu ni kwamba mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka .......so kwa kuwa hakuna uthibitisho na intuitives zinaonyesha dunia ipo stationary & flat....Then we should trust own own intuitives until proven otherwise.
Tukitaka uthibitishe madai yako Kwamba Dunia ni flat huwezi, Hata picha za nadharia ambazo wenzako wanazitumia pia unazikataa

Wewe upo kundi gani ?

Umeshindwa kututhibishia nadharia yako mkuu, kwahiyo usijipe uhakika wa Dunia kuwa ni flat
 
Tukitaka uthibitishe madai yako Kwamba Dunia ni flat huwezi, Hata picha za nadharia ambazo wenzako wanazitumia pia unazikataa

Wewe upo kundi gani ?

Umeshindwa kututhibishia nadharia yako mkuu, kwahiyo usijipe uhakika wa Dunia kuwa ni flat
Flatness doesn't need to be proven,...utaiona Kwa macho Tu....fanya exploration Dunia nzima kisha tuambie nini umeona.? Tufe/flat?

Dunia Tufe linalozunguka ndiyo linatakiwa kuwa proven!

Mimi Sipo hapa kutunga nadharia zangu.... nadharia nakuachieni nyie mnaoamini kwamba theories ni facts 100%.
 
Satellite zipo sijakupinga ila zinashikiliwa na ballons huko juu hadi ushahidi upo ukitaka nitakuonesha, na nyingi zinaanguka zikiwa na maballons. Kama satellites zinatumika kuna haja gani ya mitandao ya simu kuendelea kujenga minara mirefu??

Satellite most zinatumika kwnye millitary purposes na chache zinatumika kwenye mawasiliano na masuala mengine. Ile kusema ipo kwa orbit ni uongo.
Ntashukuru ukiweka link ya Video tupate kujifunza au la picha itasaidia.
 
Hivi ushawahi Kujiuliza Kama ikitokea siku tukipata teknolojia ya kuweza kuchimba ardhini mpaka tufike mwisho kabisa nini kitatokea au tutaona kitu gani?
__Logically kama Dunia ni Tufe ikitokea tumechimba mpaka upande wa pili basi tutatokea Australia huko,.. unahisi nini kitatokea tukifanikisha hilo with reference to dunia Tufe?
Chosen Rich
 
Rudia kusoma ili ujue kilichomaanishwa
Ngoja nikusaidie,...ili swali lako liwe na mantiki unatakiwa ufafanue:-
1. Nzi haachwi na Gari akiwa ndani ya Gari lilofungwa kila kitu.
2. Nzi haachwi na Gari akiwa ndani ya Gari ambayo ipo open juu/pembeni n.k
3. Nzi haachwi na Gari akiwa nje ya Gari.

Hapo atleast Inakua simple Kwa Mtu kukujibu kulingana na swali lako.
 
It will be seen that my reasons for thinking that the earth is round are rather precarious ones [-] It does not rest on reasoning or on experiment, but on authority. And how can it be otherwise, when the range of knowledge is so vast that the expert himself is an ignoramous as soon as he strays away from his own speciality? Most people, if asked to prove that the earth is round, would not even bother to produce the rather weak arguments I have outlined above. They would start off by saying that 'everyone knows' the earth to be round, and if pressed further, would become angry. In a way Shaw is right. This is a credulous age, and the burden of knowledge which we now have to carry is partly responsible."

WAR IS PEACE

-George Orwell (Tribune, 27 December 1946)
 
Mkuu, akili yangu ipo huru na sijaifunga kwenye box la ubishi wala ujuaji,..kuna vitu jaribu kufanya observation wewe kama wewe achana na vyote ulivyofundishwa kisha tumia akili yako tu na utazame Dunia yetu hii,.....jiulize Kwa mfano ukitumia usafiri wa majini kuzunguka Dunia nzima,...Je utaweza kugundua any bend of water towards the curve of the earth? Kumbuka Inasemekana maji yanachukua karibia 71% ya earth's surface,...na kanuni ya maji haya bend na huwa yanatafuta horizontal level kama tuonavyo Kwa macho yetu,..Sasa, Je unaona horizontal level yoyote kwenye Tufe la aina hii?



Unasema camera zilizopo kwenye space zinakimbia pamoja na Dunia...... jiulize "Are there any unedited pictures & videos of Earth from space that show it as a Tufe"
kama zipo nionyeshe tuone jinsi Dunia Tufe linavyokimbia kwenye njia yake.


Dunia ukichunguza wewe mwenyewe utagundua kama haizunguki,....Kwa mfano watu wa Dunia Tufe wanasema mawingu yapo Attached na Dunia, hivyo Dunia na mawingu yanazunguka pamoja same direction,......Sasa wewe kama unapenda kudadisi chukua hata wiki dadisi mwenendo wa mawingu,..kisha njoo ulete majibu hapa kwamba Je, mawingu movements zake zinaendana na movement ya Dunia kama inavyoelezewa???!
Haya mawazo yako alikuwa nayo Muhamad mtume wa Waarabu.. Kwahiyo sitoshangaa ukisema wewe muislamu. Dunia haiwezi kuwa flat
 
Haya mawazo yako alikuwa nayo Muhamad mtume wa Waarabu.. Kwahiyo sitoshangaa ukisema wewe muislamu. Dunia haiwezi kuwa flat
Kama Dunia haiwezi kuwa flat naomba unijibu haya maswali kwa ufasaha,
1. Ni point zipi exactly ambapo tunaweza kuona curve ya dunia?.
2. Kwanini ukiwa angani huoni Dunia ikizunguka?, hata wao mpaka leo wameshindwa kuprove.
3. Ni kivipi maji yanacurve kwenye globe?
 
Hivi ushawahi Kujiuliza Kama ikitokea siku tukipata teknolojia ya kuweza kuchimba ardhini mpaka tufike mwisho kabisa nini kitatokea au tutaona kitu gani?
__Logically kama Dunia ni Tufe ikitokea tumechimba mpaka upande wa pili basi tutatokea Australia huko,.. unahisi nini kitatokea tukifanikisha hilo with reference to dunia Tufe?
Chosen Rich
Sijajua nini kitatokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom