Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    548
Bila kujilazimisha kuelewa hautaweza kulazimishwa kuelewa. Inshort hakuna aliyeweza kufika maana kuipata ni lazima uwe nje ya dunia na hakuna pakutokea!! Yaani ni sawa uitake picha ya kati kati ya dunia katika dunia mviringo!
Kama ipo flat, majira ya mchana na usiku tunapataje!? Muda na vipindi tofauti tofauti tuna pataje! Ikiwa flat unajua gravitation ita athiri vp walio katikati ya dunia na walio mbali nao itaathiri vp
 
Kuandika sana haina maana unajua sana aisee kumbe kuna watu ni dull to this extent yani black brain inamatatizo kila kitu kwake ni conspiracy

Kwanza umeelewa bible vibaya it is very clear in the bible that the earth is a sphere (approximate ) kasome the book of Isaiah chapter 40 verse 20 to 22

Unaonekana wewe ni mwana literature sio mwana sayansi maana ur arguments are vague, most of them are not scientific kabisa

We have telescopes that go further up to 150km kwa flat earth ingekuwa naiweka ufukweni pale coco beach naangalia Zanzibar kwa starehe kabisa kitu ambacho kwa MTU mwenye slightest knowledge ya astronomy na geodesy atacheka kwakwelii sababu itakuwa ni utoto wa hali ya juu

Mengine nashindwa kuandika kabisa yani daa
Wewe ni mwana literature maana unaandika vizuri kweli sad thing scientifically umeandika blunders allover ur thread

 
I agree.....

Kimsingi tunaishi kwenye nyakati za uongo mkuu kuliko wakati mwingine wowote ule.Mimi ninaamini kabisa kuwa kuna mambo mengi sana ni ya uongo,angalau 90% ya mambo ambayo tunadhani tunayajua ni kwamba hatuyajui kabisa.....

Suala hili la umbo la dunia ni suala ambalo huwa naliangalia kwa wasiwasi tangu siku nyingi sana,kitu pekee ambacho ninataka kujua ni sababu ya kudanganya kuhusu uongo huu wa umbo la dunia.Nataka sababu itakayobiridhisha,sababu itakayoingia akilini mwangu.....

Kibaya kabisa,kama ulivyosema kwenye maandiko yako hapo juu ni kwamba,wale ambao tunadhani tunaujua ukweli ndiyo hatuujui kabisa.Kuna jambo moja la kutisha kabisa ambalo nimejifunza katika kipindi hiki hapa duniani,nimejifunza kuwa yale mambo ya kijinga kabisa ndiyo mambo ya kuzingatia kuliko mengine.....

Labda niseme hivi,yale mambo ambayo yanaonekana kuwa ya kipuuzi kwa watu "walioelimika" ndiyo mambo ambayo ni ya msingi zaidi kuliko yale yanayoonekana ni ya "akili". Kuna "watu" wamewafanya binadamu kwua kama mbuzi kabisa na hii ni mbaya zaidi.....

Acha tuendelee kujifunza.....

Hongera sana mkuu kwa mada nzuri sana japokuwa utatukanwa na kuonekana unaishi kwenye zama za giza,usijali iko siku watakuja kukukumbuka.....
Sorry man but sijajua elimu yako how has this thread convinced you
Unajua watu hawaelewi this is a conspiracy not true at all the thing ambacho wabongo wengi hawajuo ninkwamba the guys wanatufata pesa through deceit mnavisit blog zao wanapiga ela hafu wana walisha watu ujinga kabisa

Hizi website nazipiga vita kabisa maana zinapotosha wengi wana take things serious nahuku jamaa anatafuta pesa through website au blog yake

All that being said kwa MTU mwenye slightest knowledge kuhusu geodesy, believe me I am a geodesist all that is almost nonsense
The earth is approximately a sphere or a more better approximation ni ellipsoid .
The earth is an ellipsoid for geodetic purposes since tuna take a more accurate approximation .
But for normal navigation na shughuli nyingine kama za engineering a sphere is a good approximation .......but a flat earth hahahaha huu ni utoto wa wahenga kabisa hata ukipanda ndege unaona hili aisee kwamba dunia haipo flat .
 
Kuandika sana haina maana unajua sana aisee kumbe kuna watu ni dull to this extent yani black brain inamatatizo kila kitu kwake ni conspiracy

Kwanza umeelewa bible vibaya it is very clear in the bible that the earth is a sphere (approximate ) kasome the book of Isaiah chapter 40 verse 20 to 22

Unaonekana wewe ni mwana literature sio mwana sayansi maana ur arguments are vague, most of them are not scientific kabisa

We have telescopes that go further up to 150km kwa flat earth ingekuwa naiweka ufukweni pale coco beach naangalia Zanzibar kwa starehe kabisa kitu ambacho kwa MTU mwenye slightest knowledge ya astronomy na geodesy atacheka kwakwelii sababu itakuwa ni utoto wa hali ya juu

Mengine nashindwa kuandika kabisa yani daa
Wewe ni mwana literature maana unaandika vizuri kweli sad thing scientifically umeandika blunders allover ur thread


TIG
Kwanza kabisa umesema kwamba the Bible is very clear about the earth being a sphere kitu ambacho ni uwongo
Isaiah chapter 40 verse 22 inasema
"22.He sits enthroned above the circle of the earth,
and its people are like grasshoppers.
He stretches out the heavens like a canopy,
and spreads them out like a tent to live in."
hakuna sehemu hapo iliposema au kuprove kua dunia ni spherical
in other words the bible verse above indeed proves the earth to be stationary and futher more that there is a firmament above "He stretches out the heavens like a canopy,
and spreads them out like a tent to live in."
images.jpg flat.jpg
 
Wasemao dunia ni tambarare watuambie ni nini kinasababisha usiku na mchana.
Na kama dunia ni tambalale je inaanzia na kuishia wapi?
 
Kama ipo flat, majira ya mchana na usiku tunapataje!? Muda na vipindi tofauti tofauti tuna pataje! Ikiwa flat unajua gravitation ita athiri vp walio katikati ya dunia na walio mbali nao itaathiri vp
Nikikuonesha namna majira ya mwaka yanavyopatkana na jinsi usiku na mchana unavyopatikana utaamni kua dunia ni tambarare au unapenda kubishana tuu?? Majibu yote yenye msaada wa oicha na video yapo humu usome uzi wote ili uulize maswali ambayo umekosa majibu yake! Usiwe mvivu kama unataka kuelewa other wise uamue tuu kubishana
 
hebu subiri kwanza kabla sijamaliza kusoma hii mada ndeefu,unaposema dunia ni flat nataka kujua lile kombora la North Korea linapitia wapi kwenda U.S ..naona mipango inabadilika kabisa!!
 
hebu subiri kwanza kabla sijamaliza kusoma hii mada ndeefu,unaposema dunia ni flat nataka kujua lile kombora la North Korea linapitia wapi kwenda U.S ..naona mipango inabadilika kabisa!!
Duuh! Huko sipajui aisee labda tuwaulize wakorea wenyewe, kwani kwenye dunia mviringo kombora linapita wapi?
 
Yote haya yameshajadiliwa kwenye mada hii lakini naona mnaona uvivu kusoma....

Jibu fupi ni kwamba inategemea unaelekea upande upi.Kama unaelekea upande wa South pole utaishia kwenye barafu za kule na hii ni sawa na uelekee north pole...

Kama utaelekea upande tofauti utakuja kuibukia pale pale ulipoanzia safari yako....
mkuu sina maana ya kubisha ila najiuliza kama utaelekea upande fulani na ukajikuta umerudi pale pale hiyo siyo duara tena? au unazungumza flat ipi hiyo uelekee upande mmoja na mwisho unafika sehem uloanzia safari..
 
The earth is sphere!!
Hayo ma flat earth ni wapiga dili kama ccm tu!!
Also hizo evidence wanazotoa hazina mantiki!
Nimesafiri,nimepanda ndege
Also nimepanda meli
Nikiwa angani wakat nachungulia ki dirisha naona kabisa Mduara wa dunia na wala sioni hiyo flat!!
Hivi kitu ambacho kipo flat hata ukikitazama kwa juu c kitaendelea kuwa flat????
Also wakat nasafiri na ma meli pind nikiwa baharini nilikuwa naona kabisa mduaraa design kama kwa mbele kuna duara!!
Hiv kama dunia ingekuwa flat c ningeona u flat??
Mwisho kabisa nafanya kazi NASA!!
evidence zipo!!!
Also kuhus kwenda mwezini!!!
Ooops hapo pana utata mkubwa sanaaa coz hata hapa wako wengine wanapinga hilo swala!!
Nitarejea

Shukran za pekee ziende kwa thesym!
 
INTRO
Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili.
Tafakari ni mambo mangapi ambayo ulifundishwa shuleni lakini hukuwahi kuyatumia maishani mwako, na ni mambo mangapi hukuridhishwa na majibu yake ukiwa mtoto au hata ukiwa mtu mzima ni mengi , How many laws, principals, theories and formulas that you did not actually understand at all but actually agreed to them just to get along with the system or just to answer the exam. or how many things that do not make sense in real life till now.. a lot!!

Ni wazi kwamba mfumo wa sasa wa maisha kiujumla hauna tofauti kubwa sana dunia nzima. UTANDAWAZI
Kwa mfano mfumo wa mfanya kazi aliesoma wa Marekani ,Europe,Asia nk hauna tofauti sana na huku kwetu Africa na kwengineko ,,Tukiweka pembeni mambo ya mshahara na customs nyingine...
Yani namaanisha msomi mwisho wa siku lazma uspecialize kwenye kwenye kitu ambacho utakifanyia kazi maishani mwamko ,mfano utakua either ,Daktari, Mwanasheria, Wakili, Rubani, Mwandishi wa habari, Engineer, Karani nk.... Na kazi hizi ndio maisha yako. Nikimaanisha kwa asilimia kubwa sana katika kazi uliyo somea . ndipo utakapo patia mkate wako wa kila siku, ili uweze kuendesha maisha yako na watu wa karibu yako.
Na hii ndio point kubwa ya elimu,,kukufundisha kusurvive ndani ya system kiujumla.kwa mawazo yangu.
Na mara nyingi hivi vitu tunavyo visomea huchukua muda mrefu sana katika maisha yetu
na ni vigumu sana kujifunza vyote maana vinachukua muda na uwezo. Hata kama una IQ gani ..ndo system ilivyo.
Hivyo kwakua kila mtu yupo busy kufanikisha malengo yake kielimu na kimaisha ,kuna vitu vingi tunaviacha nyuma bila kuwa na ujuzi navyo kamili kwasababu havitusaidii katika kusurvive katika system.... Ila tatizo ndo lipo hapo katika vitu tunavyoona havitusaidii katika maisha.
all in all being educated with a diploma ,bachelor,or masters is not all in life.
it just means that you master being a Good worker/slave to the system.

Okay tuachane na haya mambo maana there's a lot to talk about in the subject matter

No one is smarter we are just simply sharing information and ideas ,,because we often judge according to how we where taught .

JARIBU KUA OPEN MINDED NA UTAFAKARI KWA KUTUMIA UTASHI ULIOPEWA.

Tuongelee Dunia
Nadhani kila mtu hapa alifundishwa kuhusu umbo la DUNIA
according to wikipedia (Muundo wa dunia
unafanana na tufe kubwa yenye rediasi ya 6370 km kwa wastani[1]. Tufe la dunia yetu imeundwa na mabara kwa tabaka mbalimbali. Sayansi ina njia kuzitofautisha kufuatana na tabia zao.) hivi ndivyo wote tumefundishwa swali muhimu ni kujua maana ya tufe ni nini ?

(picha na maelezo kutoka wikipedia)



Picha ya tufe

Rediasi au nusukipenyo (= r) cha tufe
Tufe ni umbo la gimba linalofanana na mpira au chungwa. Lakini wala mpira wala chungwa ni tufe kamili.



Mwaka huu 2016 tunashuhudia ssa hivi DUNIA ipo katika maendeleo na mafanikio makubwa ya technolojia na sayansi (dunia ya utandawazi)

According to NASA {nadhani wote mnatambua NASA ni nini !!!} safari ya kwanza ya mafanikio kwa binadamu kutua mwezini ilkua mwaka 1969 jully kinachonishangaza pamoja na mafanikio yote ambayo mwanadamu ameyapata mpka sasa hakuna picha halisi ya Dunia duara au tufe picha zote za dunia tufe au duara ni CGI (computer generated image) mara nyingi picha za aina hii huwa na muonekano kama picha halisi lakin sio halisi kwa sababu zinatengenezwa na photoshop au program nyingine za kutengeneza CGI nadhani watu wenye ujuzi wa media na graphics mnaelewa nnachojaribu kuelezea hapa.

Dunia duara (spherical earth) iligunduliwa na (The discovery that the Earth is round is most commonly ascribed to the ancient Greek philosopher Pythagoras, while the credit for proving it is usually given to Aristotle. It appears that most ancient Greek philosophers that followed him believed in a round Earth. Since the records from that time are not perfect, it is quite possible that someone before him was aware of the Earth's round shape.)

Kwa ufupi tunaona kwamba dunia duara ipo mda mrefu sana lakin mpaka leo hakuna picha halisi ya DUNIA yenyewe unaweza kugoogle tafta '' picture of earth from space'' AMBAYO SIO CGI

PICHA YA DUNIA KUTOKA MWEZINI ANGALIA TOFAUTI ZILIZOPO
images


images


Na pia kumbuka kwamba Dunia ina mizunguko miwili according to science na hizo spidi ni kali sana. Kwa mfano mzunguko wa usiku na mchana ni kilometer 1000 kwa lisaa hii ni spidi kubwa sana. Mara nyingi tulipokua wadogo tulkua tukiuliza inawezekanaje dunua inazunguka kwa spidi kubwa sana lakin hatuoni chochote, WAALIMU walitwambia ni GRAVITY au gravitation force ndo inavishikilia vitu vyote visidondoke kutoka duniani.... mara nyingi katika topic hii mwanafunzi anakua anajaribu kutafakari haya yote yanawezekanaje lakin jibu kamili hua halipatikani.


rounwrld.jpg

Nadhani mpaka ssa hvi utakua atleast umepata mwelekeo kidogo.. hili swala lipo deep sana na lipo connected mambo mengine mengi ulimwenguni.

Ukweli mwizito ni kwamba dunia ni tambarare na haina mzunguko wowote yani imetulia (fixed) na wanaojulikana kama (ELITES =a select part of a group that is superior to the rest in terms of ability or qualities.) hawa ni watu wanaoiongoza dunia kiutawala kiuchumi kidini na mambo mengine mengi kupitia mitandao yao ilioenea dunia nzima ..hili swala la elites pia linaweza kuzungumziwa separate kwasababu nalo lilpo deep na nivizuri kutambua njinsi media pia zinavotumiwa na viongozi katika uongozi.. kabisa kama nlivosema mwanzo mambo mengi yana husiana (everything is connected) ivi ulishawahi kujiuliza kwanini ramani ya dunia ambayo ipo kwenye bendera ya umoja wa mataifa ipo tofauti kabisa.
images

Bendera ya umoja wa mataifa

Jiulize kwanini ramani ambayo inatumiwa na umoja wa mataifa ni tofauti kabisa na ramani za kawaida? na ijulikane kwamba alama zote za bendera duniani au michoro yoyote kwene bendera inamaana flani au inaashiria kituflamni katika jamii au katika historia kiujumla.

Hii inamaanisha kwamba umoja wa mataifa wanajua kitu kuhusu dunia tambarare. Lakini kwanini wanatuficha?

un.png


Okay tuzungumie kuhusu dunia kua tambarare kwa undani kabisa na ushaidi
ngoja nielezee kwanza muundo wa dunia kutokana na reerch ya flatearth society.

Hoja ni;
Dunia ni tambarare na haizunguki yenyewe wala haizunguki jua bali jua na vitu vyote angani vinaizunguka dunia na milango yetu yote ya fahamu inatuambia hivyo maana jua tunaliona kila siku linavyotuzunguka kwasabu tunaliuona mizunguko yake na pia mwezi na nyota vyote vinatuzunguka hivi ndivyo fahamu zetu zitatuambia na ndo ukweli in short THE EARTH IS THE CENTER OF THE UNIVERSE. Na hili jambo lilikua linajulikana miaka 500 iliopita na pia DINI zote za kale na sasa walizungumzia kuhusu dunia kua katikati ya kila kitu. mfano mzuri ni katika BIBLIA katika kitabu cha mwanzo mungu alielezea vuzuri tu umbo la dunia yetu
Flat-Earth-Memes-57-6.jpg
images

Lakini chakushangaza binadamu tunakataa jinsi fahamu zetu tano zinavyotutuma achilia mbali milango yetu ya fahamu pia katika dini hili swala limezungumziwa lakin bado watu waaamini picha za NASA kwamba wameenda mwezini embu jaribu kukaanje skumoja usiku alafu angaliua mwezi vizuri kwa macho yako na unambie kama kuna mtu kaenda kwene mwezi
  • Dunia ni tambarare na maji yote ya bahari yameshikiliwa na kuta za barafu zilizozunguka dunia nzima
  • images
    images
    images
kama kuna mtu yoyote duniani anae weza kutonesha na kuthibitisha kua dunia ni duara maana yake dunia sio duara na HII infahamika toka zamani
na itambulike vita kati ya dini na wanasayansi na wanafilosofia wa zamani
DINI ZA DUNIA ZILINAJUA DUNIA NI TAMBARARE
1318069305657.png



ACCORDING TO ERIC DUBAY AND OTHER FREE THINKERS


The Earth has a radius of approximately 3965 miles. Using the Pythagorean theorem, that calculates to an average curvature of 7.98 inches per mile or approximately 8 inches per mile.
hii inamaana kua dunia inaanza kupinda au ku curve kwa nchi 8 kwa mile moja hii inamaanisha kwamba kwamfano kuna point mbili A na B mtu wa A hatoweza kumuona mtu wa B alie mile kumi au hata ishirini je hii ni kweli?
angalia kwa makini uelewe
bedford-experiment.jpg
bedford-rowbotham.jpg


Hii ilijulikana sio kweli kwasababu ya uwepo wa camera na vifaa vyenye nguvu kwa watu tofauti na zamani hizi zifuatazo ni picha zinazoonesha umbali mkubwa ulioweza kuonekana katika camera na vifaa vingine na zote hizi hazioneshi curveture yoyote angalia
bedford-level.jpg
flat-earth-is-flat.jpg

Nimejaribu kutoa mwanga tu kwa wataopenda kujua ukweli na kufatilia kuhusu flat earth nenda utapata kila kitu IFERS

Ukitaka kuelewa hili swala pamoja na mambo mengine usiyoyajua na agenda za dunia fatilia kuhusu
JARIBU KUFATILIA UKWELI SSA HVI KUNA MAKUNDI MENGI YA WATU WANAAMKA NA KUGUNDUA HAYA MAMBO KIMSINGI HUU NDIO UKWELI WA MSINGI WA KWANZA .. SABABU ZA HAWA ELITES NA INTERNATINALISTS KUFICHA HUU UKWELI PIA ZIPO ,,,,,,, CATCHUP TO REALITY FATILIA KUHUSU DUMBING DOWN OF THE SOCIETY NA THE USE OF MEDIA ON MASS CONTROL
HAYA YOTE NI KUTUFUNGA TUSIJUE UKWELI?/
KUMBUKA THOSE WHO CLAIM TO HAVE THE TRUTH ARE EASILY DECEIVED
  1. PIA FATILIA KUHUSU WHY NO ONE IS ALLOWED TO GO TO ANTARTICA
  2. FLATEARTH YOU TUBE INA VIDEO NYINGI KUHUSU HILI SWALA
  3. THE BEST NARRATOR IS ERIC DUBAY ACCORDING TO ME
  4. PIA FATILIA KUHUSU CHEMTRAILS AND FOOD POISONING
  5. KIKUBWA FATILIA KUHUSU UWEZO WA BINADAMU KIROHO/NAFSI PIA KUHUSU PINEAL GLAND NA THIRD EYE HII HAINA MAUSIANO NA DINI ZETU INFACT KILA MTU ANATEZI KATIKATI YA UBONGO INAITWA PINEAL HII NDIO HUMFANYA MWANADAMU KUA NA UWEZO WA KIROHO NA NAFSI ...HAYA MAMBO YAPO LAKIN HATUFUNDISHWI ..
  6. PIA FATILIA KUHUSU NEW WORLD ODER KIUNDANI
  7. PIA JARIBU KUFATILIA ANCIENT HISTORY AND KNOWLEDGE ( ANCIENT CIVILAIZATION)
  8. FATILIA ATLANTIAN CONSPIRACY

  9. NASA IS A HOAX
  10. GLOBAL WORMING AND CLIMATE CHANGE IS A HOAX
  11. PIA FATILIA GEORGIA GUIDE STONES
  12. KIUFUPI BINADAMU TUNAUWEZO MKUBWA SANA LAKINI HATUJITAMBUI
  13. MANY OF THE THINGS WE KNW ARE JUST ALLEGORIES AND PLANE FACE LIES
  14. HII HAIWEZEKANI.......

WE ALL LIVE FOR A PURPOSE AND THE EARTH IS THE CENTER OF THE UNIVERSE
BIG BANG NA EVOLUTION THEORIES NI UMBEA NA PROPAGANDA


COPY and paste from.....
THIS POST WAS PUBLISHED BY ERIC DUBAY @ATLANIAN CONSIRACY BOOK
For daring to spread this most important and overlooked truth, I have received death threats, lost friends and family members, had my forum shut down, and been kicked off Facebook thrice and counting. As damning and easily provable as is this fact of Jewish Freemason control, there is one other incredible fact which has also been held from humanity for 500 years now. This fact is even more damning and more easily provable, and is also a direct result of the Jewish Freemason control over the minds of the masses worldwide. It is the most marginalized, ridiculed, censored and hidden fact in history. If this fact was made known to the world at large, just this one fact, has the power to completely transform the world and everyone in it for the better, holistically, in a myriad of ways. Our rulers are well aware of this, and that is exactly why this truth has been held from us so expertly for so long. It is about the truth of who we are, where we come from, the actual position and significance of humans, Earth, the Sun, Moon, and stars.

The fact is: The Earth is flat and motionless. That is all. And that is the revelation that will finally break the matrix. You have been taught from the earliest ages that you live on a spinning ball. That NASA has sent men to the Moon, that satellites are hovering in perpetual orbit overhead, that an International Space Station contains astronauts free-floating above us, that the Earth is a ball that tilts, wobbles, spins on its axis and revolves around the Sun, and that all these and you are the result of a Big Bang cosmogenic explosion 14 billion years ago which created everything out of nothing. Yet nothing could be farther from the truth.

13254105_10154190157034293_7954312585114140960_n.jpg


The truth is simple and easily proven. You can see for yourself the horizon is always flat and you can measure using sextants, theodolites, and lasers to prove the Earth and its massive oceans have absolutely no curvature whatsoever. You can feel for yourself that the Earth beneath you is motionless and you can measure as Michelson, Morley, Gale, Sagnac, Airy and other scientists have to prove that the Earth is completely motionless. That's right. It has been long proven by several scientific experiments, even in the elitist "peer-reviewed journals" you critics constantly harp on about, that the Earth is a stationary plane. The reason you haven't heard about it before is because the media is controlled by the same people who created this deception. The only time you have ever heard a "Flat Earther" mentioned in the media, it was in jest or ridicule. The only thing you have ever heard about "Flat Earth" is that its adherents are ignorant idiots. Sorry to burst your space bubble, but if you still think you're living on a spinning ball in 2016, you my friend, are the ignorant one.

13615254_10154988989848916_7297770299845639125_n.jpg


Millions of people worldwide are waking up to this incredible re-discovery and this "Flat Earth movement" has the potential to bring about positive change on a unprecedented level. Like a balloon held underwater for 500 years, the momentum of truth rising to the surface is causing and will continue to cause huge ripples in the control system. As the spinning ball-Earth is finally being exposed worldwide for the 500 year deception it was, Earth's entire population is suddenly being faced with the reality that every government, every space agency, university, secret society, religious organization, mainstream and alternative media outlet have ALL been duplicitous in propping up a monstrous manipulation to fleece and control the masses. The resulting mass mental exodus away from the control system is exactly what humanity needs. Once the flat Earth truth gets out, these lying politicians, spokesmen, reporters and teachers suddenly change from being heralded voices of authority to being ridiculed, shunned and denounced as they deserve. Once the flat Earth truth gets out, these governments, universities, media outlets and other entangled organizations which have long been hard at work weaving this multi-generational cosmological myth, suddenly and completely lose all credibility. Once the truth of our flat Earth gets out, so does the truth of these few elite families/societies who have kept this most important and fundamental reality from us for these hundreds of years! Essentially, once the flat Earth truth gets out, so does every other important truth by proxy, because this "mother-of-all-conspiracies" holds under its umbrella literally ALL of the other conspiracies, and exposes them.

As a result of deeply understanding this and wanting to bring about a better world, it has become my life mission to spread the flat Earth truth to everyone. I have written two books on the subject, "The Flat Earth Conspiracy" and "200 Proofs the Earth is Not a Spinning Ball." I have re-started the International Flat Earth Research Society and maintain a website with hundreds of articles on the subject. I have done flat Earth radio interviews, made flat Earth FAQs, flat Earth shirts, written flat Earth rap songs, audio/video books, documentaries, and created every other kind of media I can think of to try and promote this message.

Now in just a few short years, thanks to the efforts of the rapidly growing flat Earth community, this has gone from a completely unknown, undiscussed topic to one of the highest ranked google search terms on the internet with tens of millions of hits monthly. If you still haven't done your due diligence in researching to know for yourself 100% that you are living on a flat, stationary plane, please look into the links provided. And for those of you who do know, I implore you to help my mission Operation: Spread Flat Earth Truth.

Simply knowing the truth yourself will not and cannot save the world. The only way to save the world is for the whole world to know the truth. As a means to that end, the most important type of activism anyone can be doing right now is spreading these important truths on a mass scale. There are innumerable creative ways to help achieve this; the following are several effective methods myself or friends have had success with:

1. Conversation: One of the best ways to engage people with the flat reality is through conversation. Asking leading questions, dropping hints, or just telling people various proofs and evidences is a great way to wake people up. This only works, however, if you are very knowledgeable about the subject yourself and able to answer every possible question without hesitation like the liars at NASA do.

2. Viewing Parties: Another good way to engage people is by getting them to agree to sit down and watch an informative documentary on the subject such as my videos "The World's Biggest Secret," or "The Masonic Matrix Manipulators" After watching you can then do your best to field any questions people may have.

3. Book Gifting: A great indirect way of engaging people is by buying and giving them copies of "The Flat Earth Conspiracy" and "200 Proofs the Earth is Not a Spinning Ball" or other good books on the subject. If you own flat Earth books yourself, be sure to let friends and family borrow them as well.

4. School Projects: If you are currently in school or university, a great way to expose this information is by writing essays or doing projects which tackle various aspects of ball-Earth pseudo-science or expose true flat Earth findings.

5. Social Media: I have had great success using social media to spread flat Earth truth. Simply create accounts with all the big social media sites like Facebook, Google+, Twitter, LinkedIn, Instagram, Reddit, StumbleUpon etc., join relevant groups and pages, follow people interested in related subjects, and post the best flat Earth material you can find to as many places as you can, as often as you can. Don't bother arguing with the trolls and closed-minds that will inevitably hound you, but rather focus on dissemination, spreading the message far and wide. If people ask genuine questions, be sure to answer, but anyone merely looking to ridicule should be left alone to talk with themselves.

6. Use YouTube and Other Video Sharing Sites: With 13 million hits and growing, my YouTube channel has done an excellent job spreading this message. We need more people to start flat Earth YouTube and other video sharing site channels, however, either creating original content or just re-uploading other good content. I personally have given everyone permission to use any/all of my content to help spread the word. Once you upload a new video to YouTube, then go to all your social media accounts and post each new video to all the relevant pages, groups and timelines you can.

7. Translations: For multi-lingual flat Earthers, one of the best things you can do is help translate good flat Earth material into your native tongue. My book "200 Proofs Earth is Not a Spinning Ball" has now been translated into 12 different languages and counting, reaching people who would otherwise never have a chance of understanding this material, the majority of which currently exists only in English.

8. Graffiti/Artwork: Another great method of spreading the word is through artwork or graffiti. Writing important search terms or keywords and phrases on paper money is also very effective. On the borders of your dollar bills, simply write AtlanteanConspiracy.com, IFERS.123.st, the Earth is Flat!, Google Flat Earth, Google Eric Dubay, or other such messages.

9. Pamphleteering/stickers: Creating small brochures or stickers with flat Earth information on them and handing them out in public spaces is an excellent way to spread the word. Compile several photo proofs or text proofs and put them in an easily printable and readable format then hand out as many as you can.

10: Radio/TV Show Call ins: Many different TV and radio shows give their viewers/listeners the opportunity to call in and talk with the host about certain subjects. A great way to spread the word is either by calling into these shows and engaging them on the subject on the spot, or contacting their producers before-hand and seeing if you could actually be interviewed.

There are an infinite number of creative ways we can spread this most important message, but the key is numbers and consistency. We need to hit a critical-mass tipping-point of awakened individuals dedicated to helping unplug everyone else from the spinning ball-Earth matrix. If you have figured out the truth of our flat Earth and realize the amazing positive implications of this being exposed worldwide, please join me on my mission to help spread flat Earth truth to the entire flat world
empty.gif
by Cannalive on Sat Oct 29, 2016 11:25 pm

I was told about this in jest. But once I got curious, I openly learned more and became awake. If you truly want to wake up and find the edges of your cage, you eventually cannot get over the hurdle of flat earth. Even when meeting a new friend and getting high together we both subconsciously brought up flat earth during our discussion, not really taking it seriously...until I said something that blew his mind. A simple truth about time zones if the sun was so far away. That was when I realized we have so much ability to slip into someone's conscious thought by redirecting away from the subject itself head on and slip through one of the many backdoors of logical.
Also za kuambiwa changanya na za kwako!!
Hiyo ni fasihi next time fikiria vya kutosha!!!!!
 
Kuandika sana haina maana unajua sana aisee kumbe kuna watu ni dull to this extent yani black brain inamatatizo kila kitu kwake ni conspiracy

Kwanza umeelewa bible vibaya it is very clear in the bible that the earth is a sphere (approximate ) kasome the book of Isaiah chapter 40 verse 20 to 22

Unaonekana wewe ni mwana literature sio mwana sayansi maana ur arguments are vague, most of them are not scientific kabisa

We have telescopes that go further up to 150km kwa flat earth ingekuwa naiweka ufukweni pale coco beach naangalia Zanzibar kwa starehe kabisa kitu ambacho kwa MTU mwenye slightest knowledge ya astronomy na geodesy atacheka kwakwelii sababu itakuwa ni utoto wa hali ya juu

Mengine nashindwa kuandika kabisa yani daa
Wewe ni mwana literature maana unaandika vizuri kweli sad thing scientifically umeandika blunders allover ur thread

we na ww uko brainwashed.na ushakubaliana na uongo wa wazungu...usidharau mawazo ya mwenzio...we unapinga kwa hoja za kuambiwa.wenzio wameumiza vichwa kuupata ukweli huo...swala la bible kuwa na verse ya sphere hiyo inaeza kupachikwa tuu ili kuwazubaisha watu...mbona hiyo bible pia inasema jua lilisimama kwa mda joshua apigane.na sayansi yako inadai jua halizunguki???...
science ina mambo imepatia lakini mengine imefeli tena vibaya mno..soo usiwaamini hao nasa 100%
 
Ushahidi au evidence ninayo! wewe nina uhakika huna uhakika na unachong'ang'ana nacho...umefundishwa na kukaririshwa kama mtoto asiyejitambua.
Ushahidi kuwa dunia ni flat upo dhahiri na wazi
1. Maji naturally ni flat haiwezekani bahari na maziwa yakae kwenye round ball. Wewe kwa ujinga utasema yanakaa kwa nguvu za uvutano wa dunia, sio kweli.
2. Maji pia hufuata mkondo, yaani yanatoka kwenye miiniko kwenda bondeni mfano maji ya Victoria kuelekea Mediteranian, dunia isingekuwa flat yasingefika huko.
3. Ungekuwa rubani wa ndege ungetambua kuwa unapokuwa hewani akiisha kaa kwenye degree zone fulani hakuna muda unabadilisha angle kufuatia bending.
Unataka kuendelea kuamini ujinga wa kukaririshwa kuwa dunia ni sphere kwa sababu tu ya upatikanaji wa usiku na mchana?
Mungu mwenyewe namna alivyoitengeneza mifumo ya jua na mwezi hakuna binadamu anayejua. Hao NASA na CERN wanatumabia kutoka Big bang theory kuwa the Universe is Expanding, na hizo nyota tunazoziona juu ni makundi ya nyota yaani galaxies, na umbali wake ni milions of light years, hii yote ni uongo kama ilivyo uongo kwenye kipimo cha carbon14, Hizi zote theory knowledge ni global agenda na imefanikiwa sana. Wapagani sasa ndo wameshika hatamu.
Na siwasingizii Vatican kuwa wapo behind yote haya, nadhani kwa kuwa huielewi historia ya hizi dini na historia ya ulimwengu na empire zake. Na kwa sababu huelewi hayo hujui sasa hivi tupo wapi katika historia na hivyo basi hujui tunapopelekwa na hii historia. Wakati wewe kazi yako ni kula, kunywa na kulala wapo wanaume duniani wanaishi wakifikiria wakufanyie nini ili uwe mtumwa wao. Tafakari, naamini muda sio mrefu moderators wataambiwa wauondoe uzi huu.

Ndugu epuka kusema kitu ambacho ukijui! marubani wakiwa angani ile bending iko clear wala hauhitaji kuambiwa kama hivi, tuseme na kutetea kile ambacho tunakijua bila kuingilia professional za watu! Hata kama umepanda ndege tu bending ni kitu cha kawaida sana kukiona bila hata kuambiwa
 
Ushahidi kuwa Dunia ni duara uko wazi kabisa, tumia jua! Linaanza kutoka mashariki lakini haliwaki dunia yote linawaka kidogo kidogo na kuzama hivyo hivyo

Ingekuwa flat lingekuwa linawaka kwa wakati mmoja au linazama kwa wakati mmoja, nafikiri wanaosema ni flat wanaacha hii evidence makudi

Kitu kingine tusichanganye dini na sayansi, ukivichanganya na kulazimisha viwe kitu kimoja utakuwa haueleweki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom