Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,963
- 1,616
What a crap...haiingii akilini..Hivi unaamini kweli arguements zako au unaandika tu.
Yani wote emirates, ethiopia airways na mashirika kama malysia airways, sijui nini woote wanafanya hivyo kuconfuse people kweli hiki kichekesho.
Pili you keep mentioning NASA kila mara NASA.
Kwani nasa tu ndiyo wamesema hivyo?
India ana satelite angani hajasema kuwa dunja ni flat.
China ana satelites angani tena yeye kaenda mbali zaidi ameanza jenga space station yake peke yake hajasema dunua ni flat.
Urusi ana satelites zake angani hajasema dunia ni flat.
Ulaya wana satelites zao angani hawajasema dunia ni flat.
Japan ana satelites zao angani hawajasema dunia ni flat.
Nigeria wana satelite angani hawajasema dunia ni flat.
Amazing yani nchi zote hizo na nyingine ni hasimu lakini unaamini wameshirikiana kukudanganya hilo wote.
halafu unakuja na argiements za kitoto eti unachange ndege ili wakuchanganye what a crap.
Sent using Jamii Forums mobile app