anthony_art
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,033
- 369
Asante Kwa kuwa mkweli, na hivyo ndivyo Jua huoneka kama linamove wakati kiuhalisia Dunia ndio inamove.Asante..!! Nikianza na swali lako la mwisho ulilolisapoti kwa video... hapo kinachoonekana ni majengo yanamove... lakini kiuhalisia ni camera ndiyo inayotembea, na hilo mtu yeyote anaweza kulithibitisha kwakujaribu yeye mwenyewe kufanya hivyo.