Siri hujenga au hubomoa mahusiano?

Siri hujenga au hubomoa mahusiano?

Himidini

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
5,534
Reaction score
4,190
^^
Tujadiliane,je siri mbalimbali za wapenzi kuanzia urafiki,uchumba hadi ndoa.
Je,kumpata mwenza atunzae siri sana husaidia kuimarisha mahusiano au huyabomoa?
...
Kuna siri mf. Za maisha ya nyuma yasiyopendeza,mmoja anayaficha kwa mwenzake,
Siri za wapenzi wa siri,
Siri za mipango ya ndoa,
Siri ya mambo ya fedha,
Siri ya furaha na huzuni katika maisha ya chumbani n.k
...
Je siri hujenga au hubomoa mahusiano?
^^
Ablessed Jerrymsigwa mimi49 Lisa Blaine Blue G grafani11 Swts Mrembo by Nature data Black Queen OlesAIDIM Munkari Fixed Point Mshinga Simplicity mito shanshire Shine venine Horseshoe Arch na MMU wote
^^
 
Last edited by a moderator:
1-Inategemea na Siri yenyewe!
2-kutoa siri zako ni hiari!
 
Hata kama hujanitaja ngoja nichangie tu.
Yaliyopita hayawezi kujenga wala kubomoa!!!!!!
Itabaki kama story tu kwa mwenza wako!
 
Hata kama hujanitaja ngoja nichangie tu.
Yaliyopita hayawezi kujenga wala kubomoa!!!!!!
Itabaki kama story tu kwa mwenza wako!

^^
Kwanza am sorry best,,
back to topic
Kuna watu wanaficha kuwa wana watoto au wamewahi kuwa na uhusiano na rafiki wa mpenzi wake..huoni lina athiri?
^^
 
Kuna details kuhusu past life ambazo sio za muhimu. Zinaweza kukuletea shida tu.

Lakini siri za kuhusiana na fedha na maisha na mipango hubomoa. Hata kama hutaki kuchangia sema tu. Lakini pia wanawake tumejifunza kutoongelea fedha zote tunazopata, na mwalimu wetu ni mwanaume.
 
I thought u said, never to trust a woman?
And why on earth should a woman trust a man?

So kwa mtazamo huo, siri ni muhimu iwe inajenga au kubomoa.
 
I thought u said, never to trust a woman?
And why on earth should a woman trust a man?

So kwa mtazamo huo, siri ni muhimu iwe inajenga au kubomoa.

^^
There you come Kaunga katika post ya " Never trust a woman " i was testing the validity of the statement
^^
 
Last edited by a moderator:
^^
Kwanza am sorry best,,
back to topic
Kuna watu wanaficha kuwa wana watoto au wamewahi kuwa na uhusiano na rafiki wa mpenzi wake..huoni lina athiri?
^^

kwa kutumia hiyo mifano uliyotaja hasa wakuficha anawatoto, inategemea na sababu atakazo toa 'kwa nini alificha?' kama mwenza wake ataridhishwa na sababu hizo haitakuwa na shida lakini kama atakuwa hajalidhishwanao kutakuwa na shida kubwa sana ikiwemo kuvunjika kwa uaminifu na hata mahusiano.
 
Kuna details kuhusu past life ambazo sio za muhimu. Zinaweza kukuletea shida tu.

Lakini siri za kuhusiana na fedha na maisha na mipango hubomoa. Hata kama hutaki kuchangia sema tu. Lakini pia wanawake tumejifunza kutoongelea fedha zote tunazopata, na mwalimu wetu ni mwanaume.

^^
Una maana pesa mnazopata ni siri?
^^
 
Siri hubomoa. Unakua na mpenzi ana ngoma.hakwambii.kisha unakuja kugundua hanao. Lazima maisha yabadirike.
 
Siri hubomoa. Unakua na mpenzi ana ngoma.hakwambii.kisha unakuja kugundua hanao. Lazima maisha yabadirike.

^^
Hapa umegusa eneo muhimu sana..unadhani akikwambia mapema maisha hayatabadilika?
^^
 
Inategemea na sphere ya maisha

Past life history..nasema yale ambayo anatakiwa ayajue ili aamue kusuka ama kunyoa aki probe more namfungukia tu m never ashamed of my past!!!!

Mapenzi..awe na kifua tu maana hata styles akitaka ntamsimulia ili pia ajue anakaa na chui au ji paka mkubwa!!!!Sina sababu ya kumdanganya asa anaweza kuja kusikia kwa washikadau ikaja kuwa marudio ya masimulizi...na wanajulikana na lugha ya why did you lie to me...umenidanganya mangapi sijui.!!!

Mishiko..smooth ataambiwa like why ufiche salary slips chini ya kabati!!??? the coarse ones atasikia kama story ikibidi.


I enjoy being reasonably open unakuwa huna haja ya kukumbuka wapi ulisema kweli na wapi uli fix!!!!! Ila hii haimaanishi mtu asiwe reserved unaangalia na calibre ya ntu na ntu!!!!!!!
 
Inategemea na sphere ya maisha

Past life history..nasema yale ambayo anatakiwa ayajue ili aamue kusuka ama kunyoa aki probe more namfungukia tu m never ashamed of my past!!!!

Mapenzi..awe na kifua tu maana hata styles akitaka ntamsimulia ili pia ajue anakaa na chui au ji paka mkubwa!!!!Sina sababu ya kumdanganya asa anaweza kuja kusikia kwa washikadau ikaja kuwa marudio ya masimulizi...na wanajulikana na lugha ya why did you lie to me...umenidanganya mangapi sijui.!!!

Mishiko..smooth ataambiwa like why ufiche salary slips chini ya kabati!!??? the coarse ones atasikia kama story ikibidi.


I enjoy being reasonably open unakuwa huna haja ya kukumbuka wapi ulisema kweli na wapi uli fix!!!!! Ila hii haimaanishi mtu asiwe reserved unaangalia na calibre ya ntu na ntu!!!!!!!
 
Siri inabomoa mahusiano ndugu yangu!Mfano hio siri kuhusu furaha na huzuni katika maisha ya chumbani husemi unakerekwa na nini unaweka siri,unategemea mambo yatajiweka sawa yenyewe?Ndio mwanzo wa kucheat na kuwapa wengine lawama!!Kwenye mahusiano watu wanatakiwa wawe wawazi kuongelea suala lolote na wawe wakweli!Zikishaanza siri thats a disaster kunakuwa hakuna mueleko coz siri zikifuchuka zinazua mtafaruku!
 
^^
There you come Kaunga katika post ya " Never trust a woman " i was testing the validity of the statement
^^

Sorry l missed the findings part of the study, what were the results again?
 
Last edited by a moderator:
utaishije bila siri?maisha yenyewe majanga haya.Siri ndo mpango mzima.
SO SIRI MPAKA IWE SIRI LAZIMA IJENGE,SIRI IKIBOMOA SI SIRI TENA
 
if u think siri itavunja uhusiano akisikia kwa mwingine then itaje. itamuonesha unamuamini (big plus) na utajua the type of person he/she is, na wewe unakuwa huru. hii inajenga uaminifu kati yenu na mnakuwa 'on the same page'
 
^^
A woman can be trusted
^^

Great; then l think trust is a great foundation for man-woman relationship. Hivyo ni vizuri kushare vitu vyote vinaweza leta impact (negatively and positively) ktk mahusiano.

Lkn some people can not handle some bitter truth, hivyo kama unajiona ni mmoja wao bora usichimbe some pasts za mwenza wako. Issue like umekuwa na wanaume wangapi, ni mfano mzuri unaokaribisha kudanganyana simply because most people are not comfortable with the truth, makes one wonder, why did they ask in the first place.
 
unapokuwa kwenye mapenzi na ukawa muwazi sana kwenye ishu zako wengine wanaichukulia for granted na kuona umekufa umeoza. ni kuwa muwazi huko huko kwaweza vunja mahusiano yako as yaweza tumika kama silaha ya kukuchapa. kwangu mimi siri ni muhimu. Wakati mwingine siri hujenga mahusiano.
 
Back
Top Bottom