Siri hujenga au hubomoa mahusiano?

Siri hujenga au hubomoa mahusiano?

Mnhhh kutoa kila siri ya mambo yako, haimaanishi kama itaweka mahusiano yenu sehemu salama sana au ndo itaharibu,
kitu cha msingi ni kusoma alama za nyakati ili uweze kujua unasema nn na unasemea wapi
 
kwa wabongo kutoa siri yako yyte ni kama umejitukana hapo usubiri kebei na zarau.😛uke:
 
Utata mtupu!
Siri kuhusu watoto, pesa haijengi kabisa.
Wanaume wengine hawana vifua ukimpa kidogo tu yaliyojiri enzi hizo wanapaniki! ya nini masumbufu! Lakini ni vizuri pia ajue kuwa anaweza kufundishwa vilevile, asijifanye anayajua mambo saana!
Dada yangu black queen ukiona huyo wa hivyo si chaguo lako sahihi, hata kama ukimficha ili umpate dunia haina siri akijainyaka tu ndani hakukaliki na hapo maumivu yake yanakuwa makubwa kuliko yale ambayo ungeyapata kwa kutengana wakati ule mnaanzisha mahusiano naye.
 
Siri hubomoa mahusiano pindi inapokuja kugundulika. Kuna baadhi ya vitu vyaweza kuwa siri lkn vingine hapana. Mfano mtu anajenga nyumba na anafanya siri, hiyo si siri maana ipo siku itajulikana tu.
 
Back
Top Bottom