Sir/Madam lina cheo gani?

bin kamwanah

New Member
Dec 31, 2015
1
0
Kwa wale mnaotumia maneno haya "sir" na "madam",naomba niwaulize mlifanya jambo gan ambalo ni Unix/uniki sana mpaka mjipachike hicho cheo cha u-madam na u-sir?.

Tafadhali sana kwa hasa sisi wabongo kwa sababu kila kitu tunafanya kama "shamba la bibi" bongo sir in mmoja tu ambaye ni sir George Kahama tu.

Tuache kutumia haya majina kwa nchi za wenzetu neno sir au madam ni cheo kikubwa sana sasa hapa kwetu kila MTU anajiita sir/madam?
 
Hicho cheo cha u-madam na u-sir nani hukitoa ktk nchi...?

George Kahama nani alimpatia hicho cheo wakati huo...?
 
sir. bin kamwanah we uoni ivyo vutia vitu vingine we inabidi uvizozee tu . mbona uulizi dk, kikwete ameupata wapi udokta?
 
Mkuu pole umewasahau watu km Andy Chandy nae Kahama unayemsema Hilo jina la U-sir ni la utani tu Alipewa NA mwl, lkn Kahama hana status yeyote Ambayo ni tofauti na wengi walionayo leo, kwanza Kahama Alipewa kutokana na ujanja wake I kumbukwe wkt wa uongozi wa mwl Kahama Alipewa tender ya kununua meli ambapo alileta meli used iliyopigana vita vya pili vya dunia kutoka Muungano wa Soviet baada ya mda kadhaa Ile meli iliharibika, Huyu huyu Kahama ndiye aliyewadanganya wa kanada kuwa migodi yote ya Dhahabu ni ya Familia ya Kahama, Hivo kupewa title ya U-sir sio kwamba Kuna unique kafanya, mtu kujiita au kuitwa sir ni kuonyesha tu cheo au heshima aliyonayo lkn sio hadi awe amefanya kitu fulani
Nawaslisha mkuu
 
Back
Top Bottom