TANZIA Sir. George Kahama afariki dunia

TANZIA Sir. George Kahama afariki dunia

R.I.P sir Clement G. kahama.
Kwa vijana wa kizazi cha digitali ,hii ndio Picha ya Sir Clement G. Kahama.
 
RIP
 

Attachments

  • IMG_0928.JPG
    IMG_0928.JPG
    7.9 KB · Views: 53
Chuo kikuu cha Ushirika ana jengo limepewa Jina Lake .Lecture Hall ipo Karibu kabisa na Hostel aliyeyokua akiishi aliyekua mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda au Daudi Albert Bashite.

Pembeni kuna Pius Msekwa na J.K Nyerere Hall.
 
Mungu amjaalie kheri. Marehemu alijua kustaafu tofauti na watu wengine walikula rushwa lakini bado yanahangaikia siasa...waliuza nchi na migodi wakajiuzia na majumba ya serikali lkn kilaleo yako ikulu...shiiii!
lala kwa amani sir GK.
 
Mzee tunakuombea pumziko jema na usiache kumsalimia rafiki yako J.K.Nyerere huko uendako
 
Back
Top Bottom