Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
umesoma gazeti la majira lakini?
si habari yote ndo hiyo hapo juu! Acha unafiki kama Kikwete kupeleka umbea kwa wapenda ushoga kama Obama
umesoma gazeti la majira lakini?
>Umejuaje kama Baregu ni muumini wa serikali moja?
Ndo hapo mtakapo yakumbuka maneno ya Zitto kabwe.."Msiwaamini wanasiasa" jiulize CDM walimuita ili akafanye nn na kwann alikataa kwendaa?
####team Wazalendo######
Ni msimamo mzuri tena wakizalendo zaidi. Usomi nao husaidia.
kama slaa na mbowe wana ubavu wamfukuze baregu kama madiwani wa arusha. Baregu ameidharau kamati kuu ya chdm
Ni msimamo mzuri tena wakizalendo zaidi. Usomi nao husaidia.
si habari yote ndo hiyo hapo juu! Acha unafiki kama Kikwete kupeleka umbea kwa wapenda ushoga kama Obama
kwa wale ambao hawatasoma gazeti hii ndiyo habari kamili ya prof. Baregu:
Amesema chadema walimtaka afike kwenye kamati kuu lakini aliwagomea kwa sababu alitambua alichokuwa akikifanya, kilikuwa kwa manufaa ya watanzania si chama chake. "mimi skuapa kuitetea chadema hata kama ni kada wake bali niliapa kuitetea tanzania na wananchi wake, vyama vya siasa vinaweza kufa lakini tanzania haiwezi , itaendelea kuwepo milele hivyo lazima tuheshimu hilo." alisema prof baregu. Baregu aliongeza kuwa yeye ni muumini wa serikali moja.
Dr slaa alitaka kumzoea Prof akamwambia Tanzania kwanza vyama baadae!
daladala ya wapi tena?.Si ukanunue majira au usubiri ukipanda daladala uombe jirani yako usome.
lakini si mambo ya mabaraza yalipita tarehe 31 aug?hii habari si kwamba ilishapita kitambo?kitu kitakacho wamaliza chadema ni kukosa uzalendo ktk ambition zao.hili ni neno la pili kumsikia beregu akienda agaist waziwazi na chadema especialy dr slaa.
tutasikia mengi.na yawezekana hata ziara za chadema kwa ajili ya mabaraza hakubaliani nayo kwa sababu yamekaa kishabiki wa chama na wala si kiutaifa.