Bado sana mkuuKajitambulishe kwao , kisha mfunge ndoa. acha zinaa
Ko niachane nae?Kuna mwenzako anampa shtuka acha uboya
Tafuta mwanamke mwingine Kisha mfanye ajue. Mwenyewe atakuachia mzigo.
Chagua thread moja utoe msaadaWewe hata hueleweki unataka msaada gani
Ashanambiaga bado ni bikira nasubiri nihakikisheUkiona demu hakupi na sio bikra... JUA KUNA MWANA ANAMLAAAAA UHAKIKA 100%
Lkn kwa huyu nmekufa nimeoza,sioni sisikiiHalafu unajiita sukariyawarembo ?
Kwani ni lazima akupe unyumba??
Piga chini acha utoto wewe mleta mada
Ili kumkomesha siku akikupa kataa
kama hajawahi kuguswa na mwanaume maishani yupo sahihi kukunyima hadi uoe ila kama aliwahi guswa huyo anakupotezea tyme na anakuona boya fulani hv
Ndo ivo mkuu"Subira inavuta punyeto"watu mna maneno ya hovyo walahi
Ndo nakoelekeaumkomoe kwa kuamia chaputa
Na inavuta punyetoSubira haivuti bangi,haigongi nyagi,inavuta kheri tu na haijawahi kubugi.
Unaogopa kupiga punyeto?Na inavuta punyeto
karibu chamani mkuu ,Ndo nakoelekea