sukariyawarembo
Senior Member
- Aug 2, 2019
- 167
- 117
Tuko mwaka wa pili sasa katika mahusiano na huyu kigori.
Ila hatujawahi kukutana nae kimwili hata mara moja.shida ipo kwake yaani hataki kabisa hilo suala kila siku nikumuomba anasema nivute subira.
Na akija anagoma na mi sitaki kumlazimisha nataka anipe kwa ridhaa yake,,lakini naona subiri inavuta punyeto,maana nimesubiri hadi basi.
Nampenda sana siwezi kumuacha kwa kweli.
Mna nini cha kunambia wenzangu juu ya hii inshu na ingekuwa ni nyinyi mngefanyaje?
Ila hatujawahi kukutana nae kimwili hata mara moja.shida ipo kwake yaani hataki kabisa hilo suala kila siku nikumuomba anasema nivute subira.
Na akija anagoma na mi sitaki kumlazimisha nataka anipe kwa ridhaa yake,,lakini naona subiri inavuta punyeto,maana nimesubiri hadi basi.
Nampenda sana siwezi kumuacha kwa kweli.
Mna nini cha kunambia wenzangu juu ya hii inshu na ingekuwa ni nyinyi mngefanyaje?