Sipendi mwanamke aniombe hela

Sipendi mwanamke aniombe hela

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,475
Sijajua ni kwamba ni roho mbaya au ni ushamba au ni kutojua matunzo ya mwanamke,sipendi mwanamke aniombe hela, yaani kama nina mwanamke halafu akaniomba hela basi ajue tunakosana hapo na nakuwa simtaki tena na namba yake nafuta,hata kama kaomba 4000 huwa naumia sana nikimpa.Sasa sijajua hii maana yake nini.
 
Unataka ule bure??? Bas kama huna hela kaa chongo wenye hela wakuonyeshe matumiz yake
 
wale
Sijajua ni kwamba ni roho mbaya,au ni ushamba au ni kutojua matunzo ya mwanamke.sipendi mwanamke aniombe hela,yaani kama nina mwanamke harafu akaniomba hela basi ajue tunakosana hapo na.nakuwa simtaki tena na namba yake nafuta.hata kama kaomba 4000.huwa naumia sana nikimpa.sasa sijajua hii maana yake nini
watoto wako watatu na mama zao wazimaa???na je bado unapenda ngono sana au umepunguza??
 
Sijajua ni kwamba ni roho mbaya,au ni ushamba au ni kutojua matunzo ya mwanamke.sipendi mwanamke aniombe hela,yaani kama nina mwanamke harafu akaniomba hela basi ajue tunakosana hapo na.nakuwa simtaki tena na namba yake nafuta.hata kama kaomba 4000.huwa naumia sana nikimpa.sasa sijajua hii maana yake nini
hujashikwa wewe kaka
hujashikwa kabisa
ukishikwa utahonga hata sofa za nyumbani kwenu. maana fyombo fyote utakua umehonga mwanammke
acha kabisa baba!
usithubutu kukutwa na watoto wwnaojua kushika wanaume!!!!
 
hujashikwa wewe kaka
hujashikwa kabisa
ukishikwa utahonga hata sofa za nyumbani kwenu. maana fyombo fyote utakua umehonga mwanammke
acha kabisa baba!
usithubutu kukutwa na watoto wwnaojua kushika wanaume!!!!
fyombo fyote ndio nini babaangu
 
wale

watoto wako watatu na mama zao wazimaa???na je bado unapenda ngono sana au umepunguza??
Watoto wangu hawajambo mkuu na hata mama zao ni wazima,ila ngono sijaacha mkuu bado napenda sana tu
 
Uwe unawaambia wewe yatima watakuonea huruma au watakulipisha tu bei km nauli ya mwanafunzi.
 
Sijajua ni kwamba ni roho mbaya,au ni ushamba au ni kutojua matunzo ya mwanamke.sipendi mwanamke aniombe hela,yaani kama nina mwanamke harafu akaniomba hela basi ajue tunakosana hapo na.nakuwa simtaki tena na namba yake nafuta.hata kama kaomba 4000.huwa naumia sana nikimpa.sasa sijajua hii maana yake nini
Kwa hiyo hata kama ni mkeo akiomba hela za matumizi "humtaki tena na unafuta namba yake"?
You are not a husband material.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom