Sipendi kinachoendelea Zanzibar

Consigliere

Platinum Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
12,689
Reaction score
26,568
Ni juu ya utangazwaji wa matokeo ya urais. Shein amekua muungwana sana lakini shinikizo kutoka 'kitengo' linaweza kuchafua kabisa hali ya hewa huko visiwani.
Ni rai yangu kwa the former prezidaa kuwa anachoki engeneer si kizuri. Sioni kama kitatupa any positive impact, but the consequences.
 
CCM hawaamini kama wanapoteza nchi.
 

Nkapa ndio ana mustakabali wa maisha ya kisiasa ya wazenji..acheni kulalamika!
 
Unamaanisha tezd yuko huko anachochea wasitangaze!?
 

Umetumia jicho kali sana kulichungulia hili, hongera kwako na ni kweli kabisa ni heri wakaacha kama ilivyo
 
Tez D kaliachia lile ze.e lisilojua uchungu wa mwana.
 

...tatizo wameshazoea mbinu zao za kihuni,bado wanaamini tu watashinda kimiujiza/wizi,Seif keshawaambia sitakubali sasa waache wafanye wanachotaka halafu mwisho wao watauona ICC..
 
Tezd na kondo... M wapo, ndio walio kamata jeshi kila kona.
 
Kuhubiri demokrasia ni kitu kingine tofauti na kutimiza matakwa ya demokrasia. Tuwe wavumilivu muafaka utapatikana tuu na Tanzania ataibuka mshindi.
 

Hawezi kutangaza Seifu kashinda mpaka watakapomaliza matokeo ya ushindi wa Magufuli natarajia kesho watamtangaza bila tatizo lolote kesho jioni kila mtu atajua magufuli ni mshindi hawawezi kubadilisha kitu coz kila mtu anamatokeo mpaka international observers wanayo pia
 
MR
PLEASE PLEASE PLEASE SAVE THE COUNTRY ..
usimdharau mpizani wako hata kama una nguvu vp .hujui hao wenzio wanakuwazia nn?

kujiamini kupinduKia tutajichanganya na kupoteana.
 
Huko kwa wazenji watakua wanasababisha mengine sasa. wakileta ujanja wao historia itakua haijawafundisha kitu.
 
Kwani UN wapo wapi katika hili mana msaada wao unaitajika
 
Huu uroho wa madaraka ndio unaifanya Africa kubaki hapa ilipo, hii Nchi CCM wanadhani wameachiwa urithi, nashangaa hawataki kukubali kuwa wenye njaa na walipa kodi tumewachoka kabisa.
 
Kwa hiyo na ya ushindi wa Magufuli International observers wanayo?
 
waache tu waendelee kuwachulia wazanzibar kama wanavyotuchukuliaga watanzania bara... waache waendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…