smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
Ile ni dawa kubwa sana ya kuondoa nuksi na mabalaa. Wewe huoni watu wanatajirika? Uliwahi kuona wapi demu anachukiwa? Bali Analishwa, anavishwa.
Hata watoto wake ivoivo watamvesha kuliko dingi.
Hii akikurisha demu huchomoki
Haya unaona wenzako wanazipiga hivohivo mpaka zinakaukiamo ikibidi wanagema na kujipaka usoni. Wanaenda kuombea kura za ubunge. Huna mama? Akutolee siri?
Kuna mafuta maalum yananukia **** Pharmacy nyingi yanapatikana tumia hayo!
Hata watoto wake ivoivo watamvesha kuliko dingi.
Hii akikurisha demu huchomoki
Haya unaona wenzako wanazipiga hivohivo mpaka zinakaukiamo ikibidi wanagema na kujipaka usoni. Wanaenda kuombea kura za ubunge. Huna mama? Akutolee siri?
Kuna mafuta maalum yananukia **** Pharmacy nyingi yanapatikana tumia hayo!