Sipendi condom

Sipendi condom

no one lov condoms,we use them because we have to.
 
...ushauri wangu nenda kafe nafasi za makaburi zinajaa...
 
Fungua kanisa utapata waumini aisee. Yaani ni dhambi kutumia kifudusi ila sio dhambi kufanya ngono? Shkamoo mwalimu
Mkuu LEVEL tuko pamoja, hii makitu tuipinge kwa nguvu zetu zote! kwanza ni dhambi sana kuyatumia. mm nikiyaona tu Jongoo analala!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha, yeye anadhani wengine hatusikii uchungu kutumia?

Nataka ajiulize kati ya kondomu ana arv kipi anapenda zaidi.

Ha ha ha.. JF ninavyoipenda nitakunywa sumu juu yake.. Hivi wewe Kongosho ulijua kuna mluga atakuja na maneno kama haya ukatayarisha kabisa hili jibu/swali lako..? Maana limeniacha hoi.. Ni zaidi ya jibu lol..
 
Last edited by a moderator:
Pakaa mafuta ya taa hakuna kirusi atakusogelea na utasahau condom
 
Pakaa mafuta ya taa hakuna kirusi atakusogelea na utasahau condom

Acha uongo wewe.virus na mafuta ya taa wapi na wapi? Badala ya kumshauri mwenzenu amtafute Mungu ampumzishe na hizo tamaa za mwili we unampoteza zaidi.
 
jamani naombeni ushauri coz mwenzenu sipend kabisa kutumia condom kwa mademu zangu

Hakuna cha Ushauri hapa!!kwani we mtoto....Hapo maana yake we Unapenda NGOMA sa unabidii ktk kuitafuta, ivyo Ongeza bidii.
 
Kavu ndo mpango mzima...ndom zinapoteza timing
 
mie nakushauri usitumie kabisa na ukimwi siku hizi siyo hatari kama ambavyo ungepata ugonjwa wa kansa ya koo au utumbo...haya ndiyo magonjwa watu wanaogopa sana zaidi ya ukimwi
Usiombe katika maisha yako ukapata ugonjwa wa kansa au sukari utajuta...na utalia sana hasa kansa na maumivu yake wacha ndugu usipime
Siku hizi ukimwi siyo tishio madawa yapo unatumia unaishi miaka hata 30 na siku unataka kufa sasa dawa zimeshindwa kufanya kazi unaweza ukafa ukiwa uko choo unajikamua au hata kuanguka ghafla na kupoteza maisha...kwa hyo ushauri wangu wewe kula hyo kitu bila condom ....ha ha ha
 
Back
Top Bottom