ndugu zangu, nina mwaka wa 6 sasa kwenye ndoa yangu, sijabahatika kupata watoto, tumepimwa mimi na mke wangu hatuna tatizo lolote, sasa hatuelewi ni nini shida! nawaomba muongozo ndugu zangu.
ndugu zangu, nina mwaka wa 6 sasa kwenye ndoa yangu, sijabahatika kupata watoto, tumepimwa mimi na mke wangu hatuna tatizo lolote, sasa hatuelewi ni nini shida! nawaomba muongozo ndugu zangu.