BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,499
Sipati Picha Mfano Uhuru Kenyatta wa Kenya amfunge Jela Raila Odinga then Uhuru afanye Ziara kule Kisumu au eneo la Nyanza.
Kenya wana utamaduni ambao uko nchi nyingi isipokuwa Tanzania, Utamaduni wa Kila eneo kulianda kiongozi wao.
Tuwe wakweli hata Marekani kwenye Demokrasia ya kubwa Huwa yale maeneo waliko zaliwa wagombe Uraisi hasa wa vyama vya Democratic na Republican huwa wanaungwa mkono kwa asilimia 100
Kenya Mfano kule Eldoreti kwao William Ruto kule ni No go zone kwa viongozi wengine, Kisumu kule Raila Odinga ni sehemu ambayo wanaweza kumriwaza.
Mfano Raila Odinga afungwe Jela then kiongozi afanye Ziara kule Kisumu huo moto unaweza zimwa na vikosi vya UN.
Huku Tanzania tunashindwa kabisa ku pay lasr respect kwa Watoto wetu, Mfano Zitto anapaswa kupewa Heshimu kule Kigoma kwa sababu ni Mtoto wao. Au Makamu Wa Raisi anapaswa kupewa heshima kubwa kule kwao Kigoma pia.
Mbowe anapaswa kupewa heshima kubwa kule Kilimanjaro kwa sababu ni mtoto wao. Waziri Mkuu Majariwa anapaswa kupewa heshima ya kipekee kule Lindi kwao.
Eneo au ukanda anako tokea Kiongozi huwa ni eneo la mwisho la kumpa matumaini, au kumlinda na kadhalika.
Tanzania unashangaa Lipumba ana dhihakiwa kule kijijini kwao, au Mrema ana dhihakiwa Kijijini kwao au Zitto ana dhihakiwa kijijini kwao au Mbowe au kiongozi yoyote yule.
Ifike wakati Maeneo wanako toka viongozi yawe ni maeneo ya mwisho ya kuwapa viongozi hao matumaini haijalishi ni kiongozi kutoka Upinzani au tawala.
Moshi kule wanapaswa kuwa ndio sehemu ya Mwisho ya kumliwaza Mbowe.
Sehemu nyingi za Dunia hata nchi zenye Democrasia ya kutisha huwa wale viongozi wana kwao na kule kwao ndio huwa sehemu ya kumliwaza.
Kenya wana utamaduni ambao uko nchi nyingi isipokuwa Tanzania, Utamaduni wa Kila eneo kulianda kiongozi wao.
Tuwe wakweli hata Marekani kwenye Demokrasia ya kubwa Huwa yale maeneo waliko zaliwa wagombe Uraisi hasa wa vyama vya Democratic na Republican huwa wanaungwa mkono kwa asilimia 100
Kenya Mfano kule Eldoreti kwao William Ruto kule ni No go zone kwa viongozi wengine, Kisumu kule Raila Odinga ni sehemu ambayo wanaweza kumriwaza.
Mfano Raila Odinga afungwe Jela then kiongozi afanye Ziara kule Kisumu huo moto unaweza zimwa na vikosi vya UN.
Huku Tanzania tunashindwa kabisa ku pay lasr respect kwa Watoto wetu, Mfano Zitto anapaswa kupewa Heshimu kule Kigoma kwa sababu ni Mtoto wao. Au Makamu Wa Raisi anapaswa kupewa heshima kubwa kule kwao Kigoma pia.
Mbowe anapaswa kupewa heshima kubwa kule Kilimanjaro kwa sababu ni mtoto wao. Waziri Mkuu Majariwa anapaswa kupewa heshima ya kipekee kule Lindi kwao.
Eneo au ukanda anako tokea Kiongozi huwa ni eneo la mwisho la kumpa matumaini, au kumlinda na kadhalika.
Tanzania unashangaa Lipumba ana dhihakiwa kule kijijini kwao, au Mrema ana dhihakiwa Kijijini kwao au Zitto ana dhihakiwa kijijini kwao au Mbowe au kiongozi yoyote yule.
Ifike wakati Maeneo wanako toka viongozi yawe ni maeneo ya mwisho ya kuwapa viongozi hao matumaini haijalishi ni kiongozi kutoka Upinzani au tawala.
Moshi kule wanapaswa kuwa ndio sehemu ya Mwisho ya kumliwaza Mbowe.
Sehemu nyingi za Dunia hata nchi zenye Democrasia ya kutisha huwa wale viongozi wana kwao na kule kwao ndio huwa sehemu ya kumliwaza.