Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
- Thread starter
- #21
Hahaa umenifurahisha mkuu, tusubirie kumuona JPM akimsifia Nape kuwa ni mchapakazi, mkweli na Mwaminifu hii ndio siasa ya BongoMbona CDM walimwita EL nembo ya Ufisadi lakini baadae Walitumia Choppa kumsifia kuwa ni Kiongozi Muaminifu na Muadilifu. Siasa ni UNAFIKI.