Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Okay. We are getting close..

Hate is a strong word. There must be a strong feeling behind it.

What is it?

And why did you bring Nakaaya (her sister) in the picture?

Sent using Jamii Forums mobile app

Bro

Hate is just a feeling like any other mzee,kama wewe unavyompenda mimi namchukia the other side!

Sijui kwanini watu wana phobia na neno HATE?As if mtu hurusiwi ku-hate!!

Naakaya ni sibling wake ndio maana I brought her up,I like her more...

So,fvck it,I hate fake motherfuckers like this sneaky bitch...

I hate that sleazy slot just for the fvck of it...

Dont get twisted,sina sijui some personal feelings or such and such smell towards the bitch
 
Hahaa it's depends maybe Nancy kama angekuwa na Mb angemsaidia kum-push ili aweze kuwa na knowledge pana ambayo ingeweza kumsaidia Mb dog Katika masuala mazima ya Kukuza Uchumi wake ... na hatimae asingekuwa M dog huyo mnae shinda nae na kula nae mchicha ... bali angekuwa ni Mb dog mwenye pesa zake haswa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi msanii huyu ana-hit na ngoma zake zile Latifa na Mapenzi Kitu Gani alifunguka kwamba anampenda Nancy Sumari na anatamani awe hata mkewe wa ndoa.

Kwa namna jamaa alivyokuwa juu, si rahisi kwa mdada yeyote kuchomoa ofa ya kuwa naye. Warembo walimpapatikia sana na ofkoz alitawala wingu la Bongo Fleva. Historia inakumbuka.

Na enzi hizo Nancy ndio alitoka kunyakua ushindi wa Miss World Africa.

Jamaa akashindwa kujizuia. Kila akihojiwa akawa anasema wazi anamzimikia sana Nancy Sumari. Na ndoto zake zitatimia akifanikiwa kumnasa maana lengo lake halikuwa kumchezea bali kumuoa kabisa.

Kama haitoshi, Doggy Man akarekodi wimbo mahususi kwa ajili ya Nancy akafunguka ya moyoni. Ngoma ilihit sana kwa wanaoikumbuka. Iliitwa "Ina maana".

Sikumbuki kama Nancy alizungumzia chochote.

Leo nimemuona Nancy sehemu nikawaza laiti angemkubalia jamaa wawe couple wangekuwaje leo hii? Kama angemkubalia kwa sababu ya umaarufu, wangedumu kweli?

Shubaamita!

Sent using Jamii Forums mobile app


KUNA MAKUNDI YAFUATAYO MKUU HUTAKIWI KUYAAMINI UKIWA HAI.

1. WANASIASA-USIWAAMINI HATA KIDOGO MKUU WANAJALIMATUMBO YAO NA YAFAMILIA ZILIZO KARIBU NAO. MFANO = NASARI

2. WASANII-HAWA WAPO RADHI KUDHALILIKA ILIMRADI KUPATA UMAARUFU MFANO=AMABA RUTY, NAHAPA INCLUDE HII MADA YAKO. HUENDA HUYO NAZI MSUMARI ALIMLIPA PESA MB DOG ILIAMUIMBE ILI JINA LAKE LIWEJUU THE SAME TO YOU, HUENDA UMELIPWA KUTULETEA HII MADA YAKO HAPA.

3. DALALI-USIMUAMINI DALALI HATA ONE DAY.

4. MCHEPUKO
 
Nadhani ww kazia tu hapo kwenye kujielewa kwake hayo ya uzuri kila mmoja ana definition yake.
Nimekutana na Nancy kama miaka mwil ilopita pale NMB hq mpya karib na Srena hotel aisee, trust me kwanza hata sikuweza kumjua kama ni yeye.Uzuri nilokua namuona nao kwenye tv na ule urefu wake aisee ni tofauti kabisaa nilivyomuona.tofauti sanaa.Sio m baya actually lakin ni wa kawaida tu.Kawaida.

Lakin nakubal yule dada alikua anajielewa sana nadhan hata kind of company anayojichanganya nayo pia ni cream brains tofauti na hawa masapwala wengine akina wema.

Duh. Mm sijawahi kumuona Live, namjua kwa picha tu na videos. Its true anajielewa mno ndomana heshima yake haishuki.
 
1552666021230.png

Sipati picha sasa hivi wangekuwa wapo uswazi kwao mitaa ya mabibo, Nancy mwenyekiti wa vicoba pande hizo.
 
Bro

Hate is just a feeling like any other mzee,kama wewe unavyompenda mimi namchukia the other side!

Sijui kwanini watu wana phobia na neno HATE?As if mtu hurusiwi ku-hate!!

Naakaya ni sibling wake ndio maana I brought her up,I like her more...

So,fvck it,I hate fake motherfuckers like this sneaky bitch...

I hate that sleazy slot just for the fvck of it...

Dont get twisted,sina sijui some personal feelings or such and such smell towards the bitch
mkuu umekula like yangu si kwa ajili ya ujumbe hapana mie lugha ya malkia tu hata uki define history unakula like yangu japo ujumbe wako nao si haba
 
Back
Top Bottom