Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
- Thread starter
- #41
Si ajabu alishahangaika mpaka basi. Mtu mpaka anatunga wimbo maalum na yupo kwenye peak sio masihara ujue.
Yale yale ya Mr. Blue na Wema. Ila Blue mjanja "alimla" kwanza Wema ndio akapagawa na wimbo akatunga!
Sent using Jamii Forums mobile app