Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,869
- 225,718
nmecheka nusu kuzimiahahah. kweli dada angu hizi internet slang huwa ukikutana nayo mara ya kwanza lazma isumbue
nakumbuka kipindi cha "tbt" ndiyo imeingia mimi nilifikiri inamaanisha tabata sasa nikawa najiuliza tuseme tabata pamekuwa maarufu hivi hadi kila mtu anapost yupo tabata....
nilivyoona hadi watu wa mbele wanatumia ndio nikagoogle
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app