Sipati message za kutoka kwenye mtandao wa simu

Mringo

JF-Expert Member
Jun 23, 2010
320
100
Waungwana ninatumia simu ya Blackberry lakini tokea nimeanza kuitumia sipati message zakutoka kwenye mtandao (natumia tigo) yaani nikinunua muda wa maongezi kwa tigo pesa ama hata nikijiunga na kufurushi cha internet sipati ujumbe wa kuunganishwa ila huduma inaingia...sasa leo nimenunua LUKU kwa kutumia simu kama kawaida message haijaingia...ni-setting gani za kufanya ili niruhusu hizi message??
Msaada wenu ni wa muhimu sana

Ahsanteni
 
Waungwana ninatumia simu ya Blackberry lakini tokea nimeanza kuitumia sipati message zakutoka kwenye mtandao (natumia tigo) yaani nikinunua muda wa maongezi kwa tigo pesa ama hata nikijiunga na kufurushi cha internet sipati ujumbe wa kuunganishwa ila huduma inaingia...sasa leo nimenunua LUKU kwa kutumia simu kama kawaida message haijaingia...ni-setting gani za kufanya ili niruhusu hizi message?? Msaada wenu ni wa muhimu sana Ahsanteni
jaribu kurestore settings
 
Waungwana ninatumia simu ya Blackberry lakini tokea nimeanza kuitumia sipati message zakutoka kwenye mtandao (natumia tigo) yaani nikinunua muda wa maongezi kwa tigo pesa ama hata nikijiunga na kufurushi cha internet sipati ujumbe wa kuunganishwa ila huduma inaingia...sasa leo nimenunua LUKU kwa kutumia simu kama kawaida message haijaingia...ni-setting gani za kufanya ili niruhusu hizi message??
Msaada wenu ni wa muhimu sana

Ahsanteni
Mkuu,nenda kwenye main menu>Options>Security options>Firewall. Sasa humo kwenye firewall utaona kama block incoming messages iko checked,wewe uncheck.Hope umenielewa.
---Believdat---
 
Back
Top Bottom