Sioni umuhimu wa uwanja kwa yanga

Tujenge tu, Tusaidie na Nchi kuendelea
Sio mbaya maana naona hata NMB na mabenki yaliyoombwa yamekataa project badala yake tumeambiwa GSM atafadhili zoezi lote
Hii itakuwa inatumika kama ajenda kama uwekezaji kule kwa kolo
 
Naamini hapo kwenye tff umemaanisha wizara ya michezo
Njia ya kwanza ni kuishurutisha ccm kuendeleza viwanja vyake au iviachie kwa halmashauri za miji viendelezwe kwa ajili ya manufaa ya taifa zima
Moja CCM viwanja vingi sio vyake at least tungesema ni vya serikali / wananchi sababu vilikuwepo enzi za chama kimoja; mbili kama ikingangania kwamba ni vya kwake ianze kuvilipia kodi maradufu...; tatu sababu ni mpira ninamaanisha TFF katika fungu la mapato linalokatiwa na mapesa ambayo limekuwa likipewa na FIFA na kumungunya lingeweza kuwa na viwanja kila wilaya na since hii ni kama serikali na inadumisha michezo wangepewa ahueni ya Kodi / kutokuingia gharama za kununua hio ardhi...

Kuwa na utitiri wa viwanja kwa Tanzania ambapo timu nyingi ni za misimu mwisho wa siku ni kutengeneza magofu ambayo yatakuwa hayahudumiwi... Ni nchi chache sana zenye utamaduni wa kuangalia live games za timu zao zote (kila wilaya ikiwa na kiwanja kimoja cha michezo ambacho ni top notch inatosha sana...., hizi timu kubwa zikingangania kuwa na viwanja vyao sawa (ila gharama za majengo, viwanja na kodi zote walipe na sio kupitia mgongo wa taasisi)...

Mpira kuendesha its a hard business na ni timu chache sana ulimwenguni zina make profit au kubreak even.....

 
Nimekuomba utaje na timu zenye viwanja tuone kama hazina maendeleo, Madrid, Barcelona, Man city, Bayern, Liverpool, Chelsea
Mfumo wa kuendesha soccer wa hizo nchi ni tofauti sana afrika kwanza hayo yote unayoyataja hapo ni mataifa kwa Ulaya na zile ni kama national stadium huwezi zifananisha na hizi team za Tanzania
 
Moja CCM viwanja vingi sio vyake at least tungesema ni vya serikali / wananchi sababu vilikuwepo enzi za chama kimoja; mbili kama ikingangania kwamba ni vya kwake ianze kuvilipia kodi maradufu...; tatu sababu ni mpira ninamaanisha TFF katika fungu la mapato linalokatiwa na mapesa ambayo limekuwa likipewa na FIFA na kumungunya lingeweza kuwa na viwanja kila wilaya na since hii ni kama serikali na inadumisha michezo wangepewa ahueni ya Kodi / kutokuingia gharama za kununua hio ardhi...

Kuwa na utitiri wa viwanja kwa Tanzania ambapo timu nyingi ni za misimu mwisho wa siku ni kutengeneza magofu ambayo yatakuwa hayahudumiwi... Ni nchi chache sana zenye utamaduni wa kuangalia live games za timu zao zote (kila wilaya ikiwa na kiwanja kimoja cha michezo ambacho ni top notch inatosha sana...., hizi timu kubwa zikingangania kuwa na viwanja vyao sawa (ila gharama za majengo, viwanja na kodi zote walipe na sio kupitia mgongo wa taasisi)...

Mpira kuendesha its a hard business na ni timu chache sana ulimwenguni zina make profit au kubreak even.....

Nimekuelewa kwa usahihi kabisa
 
Aisee kama wameahidiwa hisani ya kujengewa heri wajengewe

Ukileta option mbadala utashagaa kiwanja hutakiona na hela hazitakuwepo.we ni mgeni bongo hii.

We unafikiri hata leo balance sheet ya yanga ipo sahihi..ni kwa vile tu timu inapata matokeo ndio maana watu hawahoji...ila hesabu za yanga ni questionable saaana tu.
 
Aisee kama wameahidiwa hisani ya kujengewa heri wajengewe

Ukileta option mbadala utashagaa kiwanja hutakiona na hela hazitakuwepo.we ni mgeni bongo hii.

We unafikiri hata leo balance sheet ya yanga ipo sahihi..ni kwa vile tu timu inapata matokeo ndio maana watu hawahoji...ila hesabu za yanga ni questionable saaana tu.
Wajenge naona bank zimejiondoa Sasa ufadhili utakuwa wa GSM
 
Asante kwa kuona hili na kuboresha maslahi ya wachezaji nakumbuka Totenham wakiwa wanajenga uwanja wao wa Sasa walishindwa kabisa kununua wachezaji kwa yanga ya Sasa ikiingia kwenye hiyo project tutaletewa kina Guede na Mkude wengi kweli wakati tunataka angalau hadi 2027 tuwe tunaitafuta final ya Caf regularly
Anyway tuwaachie wao si ni maoni tu
Kupanga ni kuchagua
 
Sijajua huwa tunawaza Nini!?
Viwanja ndio hivi serikali inataka kujenga kwa ajili ya Afcon hapohapo yanga nae ajenge hayo ni matumizi mabaya ya fedha
Chezea vya serikali kama alivyo kaizer na Orlando Kisha pesa elekeza kwenye vitega uchumi vingine eg sport center kuokoa gharama za pre season
hakuna haja ya kujenga uwanja afcon, utumike amaan na mkapa basi. vingine kenya na uganda
 
Back
Top Bottom