uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,303
- 9,486
Wakuu haya ni maoni yangu kiafrika sioni umuhimu wa Yanga kuwa na uwanja wake wakati Kuna viwanja vitatu kwa dar anavyoweza Kutumia bila shida badala yake nadhani hiyo pesa ingejenga sport center nzuri itakayokuwa na hostel nzuri za pre season hospital ndogo ya kuhudumia wachezaji na wafanyakazi wake viwanja vizuri mfano wa ule wa kidongo chakundu kwa ajili ya mazoezi na gym ya kisasa
Kama pesa itabaki basi waboreshe mishahara ya wachezaji ili kufikia lengo la kuwa club kubwa afrika
Tuendelee Kutumia uwanja wa Benjamin na Chamazi ikumbukwe pia Serikali inaelekea kujenga uwanja Arusha na Dodoma ambapo pia tunaweza kuvitumia pale kunapokuwa na dharula
Hakuna haja ya uwanja kwa sasa
Kama pesa itabaki basi waboreshe mishahara ya wachezaji ili kufikia lengo la kuwa club kubwa afrika
Tuendelee Kutumia uwanja wa Benjamin na Chamazi ikumbukwe pia Serikali inaelekea kujenga uwanja Arusha na Dodoma ambapo pia tunaweza kuvitumia pale kunapokuwa na dharula
Hakuna haja ya uwanja kwa sasa